Logo
Chapisha ukurasa huu

بسم الله الرحمن الرحيم

 Wilayah Pakistan: Kisimamo katika Jiji la Karachi cha Kuunusuru Msikiti wa Al-Aqsa Al-Mubarak!

Chini ya mazingira ya kambi katika ardhi iliyobarikiwa (Palestina) ya mashambuliozi ya mara kwa mara yanayofanywa na umbile la Kiyahudi kwenye Msikiti wa Al-Aqsa uliobarikiwa na kuzingirwa kwake na kumiminiwa mabomu ambayo yameendelea kwa miaka 15 kwenye Ukanda wa Gaza, Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan iliandaa maandamano jijini Karachi ili kutoa wito na kutafuta nusra kutoka kwa majeshi ya Kiislamu, miongoni mwao likiwa ni jeshi la Pakistan, kuunusuru na kuukomboa Msikiti wa Al-Aqsa uliobarikiwa.

Ijumaa, 09 Shawwal 1442 H sawia na 21 Mei 2021 M

- Video ya Amali ya Kisimamo cha Karachi -

Kwa maelezo zaidi zuru mitandao ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan:

Tovuti Rasmi ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan

Ukurasa wa Facebook wa Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan

Ukurasa wa Twitter wa Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan

 

Template Design © Joomla Templates | GavickPro. All rights reserved.