Logo
Chapisha ukurasa huu

بسم الله الرحمن الرحيم

 Hizb ut Tahrir / Ardhi ya Baraka – Palestina

AQSA INAKULILIENI, ENYI MAAFISA

KUTOKA JAKARTA HADI RABAT!!!

Tumekusanyika leo kusema LA kwa mpango wa Trump, LA kwa suluhisho la serikali mbili, LA kwa miradi yote ya kujisalimisha, mazungumzo, na usaliti, na NDIO kwa kishindo cha ndege na tetemeko la ardhi la vifaru, NDIO ... tunataka chuma kishambulie chuma, tunataka askari kama wanajeshi wa Salahudin.

Miito: Wito wa Al-Aqsa, Enyi maafisa kutoka Jarkata hadi Rabat. Wito wa Al-Aqsa, Enyi maafisa kutoka Jarkata hadi Rabat. Inayaita majeshi ya ukombozi, Al-Aqsa inayaita majeshi ya ukombozi. Takbeer: Allahu Akbar. Takbeer: Allahu Akbar

Hivyo, Enyi Jeshi la Jordan, maafisa na viongozi wa Jeshi la Al-Karamah, njooni Palestina ili kuikomboa kutoka kwa wavamizi Mayahudi.

Na Nyie Jeshi la Iraq, wajukuu wa vita vya Jennin, jitokezeni mbele. Palestina inakuiteni kutaka uungaji mkono wenu. Na makaburi ya wazee wenu waliokufa mashahidi yapo hapa, yakikushuhudieni nyinyi katika mji huu.

Enyi jeshi la Misri, mashujaa wa kuvuka njia za majini katika Ramadhani, na kizazi cha Amr ibn al-'As, njooni Palestina, kwani Al-Aqsa inakulilieni. Rudieni zama zenu, muwe mstari wa mbele katika ukombozi na Jihad kwa ajili ya radhi za Mwenyezi Mungu (swt), kama vile mlivyokuwa zama za wapiganaji wa msalaba.

Enyi jeshi la Pakistan, simba wa milimani na munaoupenda Uislamu, njooni katika Ardhi ya Israa ya Mtume wenu (saw) na mji wa mwanzo wa Qibla mbili. Hamtamani mapaji ya nyuso zenu yasujudu hapa.

Enyi jeshi la Uturuki, enyi kizazi cha Sultan Muhammad al-Fatih na Abdul Hamid, njooni katika maeneo ya Msikiti Al-Aqsa, kwani umekusubirini sana ili uwaone.

Enyi jeshi la Algeria, munaopenda kufa mashahidi na Palestina, njooni kwa watu wenu hapa Palestina, kwani wanakulilieni.

Miito: Jitokezeni, jitokezeni Enyi askari…ifuteni Dola ya Mayahudi. Jitokezeni, jitokezeni askari…ifuteni Dola ya Mayahudi. Jitokezeni Enyi watu wa silaha…kwa ajili ya Al-Aqsa, yapasa roho zitumike. Takbeer: Allahu Akbar. Takbeer: Allahu Akbar.

Na Enyi Jeshi la Indonesia, Iran, Hijaz na nchi nyingine za Waislamu, hapa ni Al Quds (Jerusalem), hapa ndipo kuna Israa 'ya Mtume wenu (saw), hii ni miili ya mababu na mabibi zenu kutoka kwa masahaba wakubwa, hapa ndio ardhi yenu ya Baraka, kwa hivyo njooni muikomboe na muitakase.

Enyi majeshi ya Waislamu kwa ujumla, tunawalingania kwa Mwenyezi Mungu (swt) asema:

[يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا مَا لَكُمْ إِذَا قِيلَ لَكُمُ انْفِرُوا فِي سَبِيلِ اللَّهِ اثَّاقَلْتُمْ إِلَى الْأَرْضِ أَرَضِيتُمْ بِالْحَيَاةِ الدُّنْيَا مِنَ الْآخِرَةِ فَمَا مَتَاعُ الْحَيَاةِ الدُّنْيَا فِي الْآخِرَةِ إِلَّا قَلِيلٌ * إِلَّا تَنْفِرُوا يُعَذِّبْكُمْ عَذَاباً أَلِيماً وَيَسْتَبْدِلْ قَوْماً غَيْرَكُمْ وَلَا تَضُرُّوهُ شَيْئاً وَاللَّهُ عَلَى كُلِّ شَيْءٍ قَدِيرٌ]

“Enyi mlio amini! Mna nini mnapo ambiwa: Nendeni katika Njia ya Mwenyezi Mungu, mnajitia uzito katika ardhi? Je, mmeridhia maisha ya dunia kuliko ya Akhera? Lakini starehe za maisha ya dunia kulinganisha na ya Akhera ni chache. Kama hamwendi atakuadhibuni adhabu chungu, na atawaleta watu wengine, wala nyinyi hamtamdhuru chochote. Na Mwenyezi Mungu ni Muweza wa kila kitu.” [At-Taubah: 38-39]

Miito: Jitokezeni, jitokezeni Enyi askari…ifuteni Dola ya Mayahudi. Jitokezeni, jitokezeni askari…ifuteni Dola ya Mayahudi. Jitokezeni Enyi watu wa silaha…kwa ajili ya Al-Aqsa, yapasa roho zitumike. Takbeer: Allahu Akbar. Takbeer: Allahu Akbar.

Ijumaa, 27 Jumada al-Akhar 1441 H - 21 Februari, 2020 M

Imebadilishwa mara ya mwisho mnamoJumatano, 26 Februari 2020 07:25
Template Design © Joomla Templates | GavickPro. All rights reserved.