Logo
Chapisha ukurasa huu

بسم الله الرحمن الرحيم

 Wilayah Syria: Kisimamo cha Kijiji cha Sahara "Daraa Yawaomba Nusra Wenye Ikhlasi na Yaondoa Barakoa kutoka kwa Wanyonge!"

Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria iliandaa kisimamo katika mji wa Azaz viungani mwa Aleppo Kaskazini baada ya swala ya Ijumaa kwa anwani "Daraa Yawaomba Nusra Wenye Ikhlasi na Yaondoa Barakoa kutoka kwa Wanyonge!"

Ijumaa, 27 Dhu al-Hijjah 1442 H sawia na 06 Agosti 2021 M

- Kalima ya Ustadh Munir Nassir wakati wa kisimamo cha mji wa Azaz -

Template Design © Joomla Templates | GavickPro. All rights reserved.