OGN TV: Mahojiano na Dkt. Nazreen Nawaz Kuhusiana na Maandamano Dhidi ya Hijab Nchini Iran
- Imepeperushwa katika Video
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Bilal Abdul-Kareem kutoka chaneli ya Habari ya ‘On the Ground News’ akimhoji Dkt. Nazreen Nawaz, Mkurugenzi wa Kitengo cha Wanawake katika Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir, kuhusiana na jinsi Waislamu wanapaswa kujibu maandamano dhidi ya Hijab nchini Iran.