Jumanne, 07 Shawwal 1445 | 2024/04/16
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Hizb ut Tahrir / Denmark: Kongamano la Khilafah 2024 “Miaka Mia bila ya Khilafah!”

Kwa mnasaba wa miaka 100 M (103 H) ya mkoloni kafiri, kwa msaada wa makhaini wa Kiarabu na Kituruki, kuivunja Dola ya Uislamu (Khilafah Uthmani) na kuondolewa kwa mfumo wa utawala katika Uislamu (Khilafah) kutoka kwa maisha ya Umma wa Kiislamu, Hizb ut Tahrir / Denmark inaandaa Kongamano la kila mwaka la Khilafah.

Soma zaidi...

Uamuzi wa Mahakama ya Shirikisho kuhusu Utekelezaji Sharia wa Kelantan - Umetumia Sharia ipi?

Mnamo Agosti 2023, mawakili wawili, Nik Elin Zurina na Tengku Yasmin, waliwasilisha ombi kwa lengo la kubatilisha vifungu18 ndani ya Sharia ya Jinai ya Kelantan. vifungu hivyo, vilivyoainishwa chini ya Sharia ya Kiislamu, viko chini ya mamlaka ya Bunge la Jimbo la Kelantan (DUN).

Soma zaidi...

Zanzibar Inahitaji Mabadiliko ya Kimsingi Kukabiliana na Mporomoko wa Maadili

Kutokana hatua ya Baraza la Sanaa, Sensa ya Filamu na Utamaduni la Zanzibar kumzuia kwa miezi sita Zuchu, mwimbaji mziki wa Bongo fleva asifanye maonesho yake Zanzibar kuanzia tarehe 5 Machi 2024 kufuatia uimbaji wake usio na maadili katika onesho la Full Moon Kendwa Night Show lililofanyika kaskazini mwa Zanzibar mnamo tarehe 24 Februari 2024, sisi Hizb ut Tahrir /Tanzania tungepependa kusema yafuatayo:

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu