Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia Kongamano la Kila Mwaka: “Ruwaza ya Kiuchumi ya Hizb ut Tahrir”
- Imepeperushwa katika Tunisia
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Katika muendelezo wa amali za hadhara zilizoandaliwa na Hizb ut Tahrir/Wilayah Sudan katika maeneo tofauti tofauti ya nchi, ili kuuamsha Umma wa Kiislamu kupitia kuunda rai jumla inayofahamu masuluhisho ya Uislamu, yanayoshughulikia mpango wa mfumo wa pande tatu wa mazungumzo ya kutatua mgogoro wa utawala nchini, migomo ya wafanyakazi na masuala mengine.
Ewe Mwenyezi Mungu turudishie ngao yetu, Khilafah Rashida kwa Njia ya Utume… Ewe Mwenyezi Mungu, Amin.
Mnamo siku ya Ijumaa, 11 Mei 2012, Naveed Butt alitekwa nyara na maafisa wa kijasusi wa dola ya Pakistan, alipokuwa akiwachukua watoto wake wadogo shuleni.
Jumapili asubuhi, Mei 22, 2022, Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia iliandaa kisimamo cha kukataa miradi ya kisiasa ya kisekula ambayo inaupinga Uislamu waziwazi na hukmu zake inayofungamana na maadui wa Waislamu kutoka katika ukoloni wa Magharibi na mfano wake.
Kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, Afisi Kuu ya Habari, kupitia ukurasa huu, itachapisha mabango kumi ya kuuamsha Umma wa Kiislamu na watu wenye nguvu na ulinzi ndani yake ili wafanye kazi pamoja nayo kusimamisha Khilafah Rashida ya pili kwa njia ya Utume.
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir inafuraha kuwasilisha kwa wafuasi na wanaozuru kurasa za Afisi Kuu ya Habari DVD mpya katika lugha tano yenye kichwa:
Hizb ut Tahrir/ Wilayah Pakistan itaandaa kampeni yenye kichwa, "Kataeni Demokrasia na Msimamishe Khilafah" kwenye mitandao ya kijamii mwezi mzima ujao, InshaAllah. Kampeni hii inaleta ufahamu katika mifumo ya serikali, uchumi, na vikosi vya kijeshi vya Khilafah Rashida itakayosimama hivi karibuni, InshaAllah.