Ijumaa, 10 Shawwal 1445 | 2024/04/19
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Hizb ut Tahrir/ Wilayah Sudan: Ripoti ya Habari 13/06/2022

Katika muendelezo wa amali za hadhara zilizoandaliwa na Hizb ut Tahrir/Wilayah Sudan katika maeneo tofauti tofauti ya nchi, ili kuuamsha Umma wa Kiislamu kupitia kuunda rai jumla inayofahamu masuluhisho ya Uislamu, yanayoshughulikia mpango wa mfumo wa pande tatu wa mazungumzo ya kutatua mgogoro wa utawala nchini, migomo ya wafanyakazi na masuala mengine.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia: Angazo la Vyombo vya Habari la Kisimamo Mabadiliko Makubwa kwa Msingi wa Uislamu Ndiyo Njia ya Wokovu Wetu!

Jumapili asubuhi, Mei 22, 2022, Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia iliandaa kisimamo cha kukataa miradi ya kisiasa ya kisekula ambayo inaupinga Uislamu waziwazi na hukmu zake inayofungamana na maadui wa Waislamu kutoka katika ukoloni wa Magharibi na mfano wake.

Soma zaidi...

Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir: Hizb ut Tahrir Yawahamasisheni Kufanya Kazi Nayo ili Kusimamisha Khilafah Rashida ya Pili kwa Njia ya Utume

Kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, Afisi Kuu ya Habari, kupitia ukurasa huu, itachapisha mabango kumi ya kuuamsha Umma wa Kiislamu na watu wenye nguvu na ulinzi ndani yake ili wafanye kazi pamoja nayo kusimamisha Khilafah Rashida ya pili kwa njia ya Utume.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir/ Wilayah Pakistan: Kampeni, Kataeni Demokrasia na Msimamishe Khilafah

Hizb ut Tahrir/ Wilayah Pakistan itaandaa kampeni yenye kichwa, "Kataeni Demokrasia na Msimamishe Khilafah" kwenye mitandao ya kijamii mwezi mzima ujao, InshaAllah. Kampeni hii inaleta ufahamu katika mifumo ya serikali, uchumi, na vikosi vya kijeshi vya Khilafah Rashida itakayosimama hivi karibuni, InshaAllah.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu