Logo
Chapisha ukurasa huu

بسم الله الرحمن الرحيم

 Hizb ut Tahrir / Wilayah Bangladesh:

Kongamano "Ombwe la Kisiasa Nchini Bangladesh: Suluhisho Pekee ni Kuregesha Khilafah"

Hizb ut Tahrir / Wilayah Bangladesh inaandaa kongamano lake la kila mwaka kwa mwaka huu chini ya kichwa:

“Ombwe la kisiasa nchini Bangladesh: suluhisho pekee ni kuregesha Khilafah”

“... Kisha itakuweko Khilafah kwa njia ya Utume” [Musnad Ahmad].

Basi kuweni pampoja nasi...

Jumatatu, 28 Sha’aban 1444 H - 20 Machi 2023 M

- Wakati na Mahali-

Siku na Tarehe: Jumatatu, 20 Machi 2023 M

Wakati: 16:00 (Kwa saa za Madina Al-Munawwarah)

Ili kufuatilia: Bonyeza Hapa

- Matangazo ya Moja kwa Moja ya Kongamano -

Kwa maelezo zaidi tafadhali zuru mitandao ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Bangladesh:

Tovuti Rasmi ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Bangladesh:

Template Design © Joomla Templates | GavickPro. All rights reserved.