Logo
Chapisha ukurasa huu

بسم الله الرحمن الرحيم

 Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia:

Neno la Haki katika Chuo cha Sheria Mjini Sfax!

Mchangio wa Dada Marwa Khasharem, mwanafunzi wa Chuo cha Sheria mjini Sfax, wakati wa kongamano la kisayansi lililoandaliwa na Jumuiya ya Wanafunzi wa Tunisia katika Chuo cha Sheria cha Sfax, chini ya mada "Uislamu wa Kisiasa na Changamoto za Demokrasia".

Jumatano, Rajab 22 Tukufu 1443 H - 23 Februari 2022 M

Template Design © Joomla Templates | GavickPro. All rights reserved.