Logo
Chapisha ukurasa huu

Afisi ya Habari
Wilayah Sudan

H.  10 Rabi' I 1447 Na: HTS 1447 / 23
M.  Jumanne, 02 Septemba 2025

Mwaliko wa Kuhudhuria na Kushiriki katika Kikao cha Kadhia za Umma
(Imetafsiriwa)

Sisi katika Hizb ut Tahrir/ Wilayah Sudan, tunafuraha kuwaalika ndugu zetu wanahabari, wanasiasa, na wale wenye hamu na mambo ya umma kuhudhuria na kushiriki katika kikao cha kila mwezi cha kadhia za Umma, ambapo mwezi huu kichwa chake ni:

Mpango wa Amerika wa Kuitenganisha Darfur... Na Jinsi ya Kuutibua

Wazungumzaji kwenye kikao:

1- Ustadh Nassir Ridha – Mkuu wa Kamati Kuu ya Mawasiliano ya Hizb ut Tahrir katika Sudan Wilayah

2- Ustadh Muhammad Jami' (Abu Ayman) – Msaidizi wa Msemaji Rasmi wa Hizb ut Tahrir katika Sudan Wilayah

3- Afisa wa Kikao: Ustadh Ibrahim Musharraf, Mwanachama wa Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah Sudan.

Tarehe: 14 Rabi' al-Awwal 1447 H sawia na 07/09/2025 M

Wakati: 1:00 Adhuhuri

Mahali: Afisi ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan, Port Sudan – Wilayah ya Al-Azma – Mashariki mwa Uga wa Port Sudan

Uwepo na ushiriki wenu ni heshima kwetu.

Ibrahim Othman (Abu Khalil)
Msemaji Rasmi wa Hizb Ut Tahrir
katika Wilayah Sudan

Hizb-ut Tahrir: Afisi ya Habari
Wilayah Sudan
Address & Website
Tel: 0912240143- 0912377707
http://www.hizb-sudan.org/
E-Mail: Spokman_sd@dbzmail.com

Template Design © Joomla Templates | GavickPro. All rights reserved.