Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Maoni ya Habari 24/07/2024
- Imepeperushwa katika Pakistan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Maoni ya habari ya Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah Pakistan.
Maoni ya habari ya Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah Pakistan.
IMF ni taasisi ya kikoloni, na dori yake ni kudumisha utawala wa dolari ya Marekani kote duniani kupitia sera zake za kiliberali za uchumi mamboleo.
Mnamo tarehe 13 Julai, 2024, Mfuko wa Fedha wa Kimataifa (IMF) ulithibitisha katika taarifa yake kwa vyombo vya habari kwamba Pakistan na IMF wamefikia makubaliano ya kifurushi cha mkopo wa msaada wa dolari bilioni 7, wakidai kuwa “Programu hiyo mpya inalenga kuunga mkono juhudi za mamlaka za kuimarisha utulivu wa uchumi mkuu.”
Kwa nini Waziri Mkuu hataki kuwa muwazi kwa wananchi kuhusu jinsi watu watalazimika kumudu kifurushi hiki kipya.
Bajeti ya Mfuko wa Fedha wa Kimataifa imezua Balaa kwa Waislamu! Hukmu za Uislamu ndizo pekee zilizo na uwezo wa kuhafifisha migogoro mikubwa ya kiuchumi.
Khilafah itakomesha sera ya ubinafsishaji iliyowekwa na Mfuko wa Fedha wa Kimataifa, IMF, ambayo imesababisha uharibifu wa sekta ya nishati, mafuta na gesi, na badala yake itatabikisha hukmu ya umilikaji wa umma katika Uislamu, kuhusiana na nishati na madini.
Mfuko wa Fedha wa Kimataifa ni taasisi ya kikoloni ikitoka kwa mkataba wa bretton woods, inatumika kuanzisha ukiritimba wa dola ya marekani katika biashara ya kimataifa.
Kwa kutenga asilimia 52 ya bajeti yote kwa malipo ya riba pekee, maslahi ya wananchi, serikali na usalama yako hatarini.
Hakika watawala wa Pakistan, pamoja na watawala wa nchi nyengine za Kiislamu, ni vibaraka wa duni wa ukoloni, na barakoa zao sasa tayari zimeshapomoka kikamilifu.
Hakika Khilafah itaziunganisha nchi za Kiislamu kuwa Dola moja kwa njia ya Kimsingi!!