Enyi Ummah wa Muhammad (saw) Je! Ni Kufa Kifo cha Udhalilifu, au Utukufu, Ushindi na Tamkini?!
- Imepeperushwa katika Palestina
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Enyi Ummah wa Muhammad (saw)! Watu wa Gaza wako baina ya kifo na kifo zaidi. Ikiwa hawatakufa kutokana na mabomu, watakufa kwa njaa, kiu, au watakufa kwa maradhi. Eneo la Kaskazini la Ukanda wa Gaza liko chini ya mzingiro mkali bila ya chakula, maji, au dawa. Kwa hivyo mutafanya nini, Enyi Waislamu?