Jumamosi, 18 Shawwal 1445 | 2024/04/27
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

[شَهْرُ ‌رَمَضَانَ الَّذِي أُنْزِلَ فِيهِ الْقُرْآنُ هُدًى لِلنَّاسِ وَبَيِّنَاتٍ مِنَ الْهُدَى وَالْفُرْقَانِ] “Mwezi wa Ramadhani ambao imeteremshwa humo Qur'ani kuwa ni uwongofu kwa watu, na hoja zilizo wazi za uwongofu na upambanuzi.” [Surah Al-B

Mwezi wa Furqan umekujieni. Unawajibisha kutofautisha baina ya haki na batili. Basi kuweni watiifu kwa Mwenyezi Mungu (swt) na Mtume wake (saw), na jiepushe na ukafiri, makafiri, unafiki na wanafiki. Hakuna hukmu inayostahili kutawala isipokuwa ya Mwenyezi Mungu (swt).

Soma zaidi...

“SUBHANA, Ametakasika aliye mchukua mja wake usiku mmoja kutoka Msikiti Mtukufu mpaka Msikiti wa Mbali, ambao tumevibariki vilivyo uzunguka, ili tumuonyeshe baadhi ya Ishara zetu. Hakika Yeye ni Mwenye kusikia na Mwenye kuona.” [Al-Isra’: 1]

Safari ya Usiku na Kupaa, Al-Isra’ Wal Mi’raj, ni muujiza mkubwa ambapo Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw), aliona moja ya alama kuu za Mola wake. Ambapo milango ya Bait al-Maqdis na milango ya mbinguni ilifunguliwa kwa ajili yake baada ya kukata tamaa na watu wa Makka na Taif.

Soma zaidi...

Enyi Ummah wa Muhammad (saw) Je! Ni Kufa Kifo cha Udhalilifu, au Utukufu, Ushindi na Tamkini?!

Enyi Ummah wa Muhammad (saw)! Watu wa Gaza wako baina ya kifo na kifo zaidi. Ikiwa hawatakufa kutokana na mabomu, watakufa kwa njaa, kiu, au watakufa kwa maradhi. Eneo la Kaskazini la Ukanda wa Gaza liko chini ya mzingiro mkali bila ya chakula, maji, au dawa. Kwa hivyo mutafanya nini, Enyi Waislamu?

Soma zaidi...

Kusisitiza Sheria ya Hifadhi ya Jamii ni Kupambana na Watu katika Maisha yao, Kupora Riziki za Watoto wao na Kushambulia Ukakamavuna Azma yao

Ni kwa kuna nini msisitizo huu wa Mamlaka ya Palestina (PA) wa kuhuisha Sheria ya Hifadhi ya Jamii? Je, ni kwa sababu ya wasiwasi wake kwa watu wa Palestina? Au ili kulinda ukakamavu wao na kuwatia nguvu katika Ardhi Iliyobarikiwa? Je, ni nani mnufaika halisi wa sheria hii? Je, ni wafanyikazi, waajiriwa, na waajiri, au ni wale walio madarakani?

Soma zaidi...

Katika Kumbukumbu ya Kuvunjwa kwa Khilafah Palestina itakombolewa na Khilafah, kwa hiyo Uhamasisheni Ummah na Majeshi yake Kuisimamisha

Kila siku, umbile la Kiyahudi linakoleza dhulma yake, ukosefu wa adili, na uonevu. Kumwaga damu tukufu asubuhi na jioni, kuuvamia Msikiti wa Al-Aqsa kila siku, na kuzuia harakati ndani yake hata mbele ya wamiliki wa uwongo wa “usimamizi wa Hashemiya”.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu