Jumapili, 05 Ramadan 1447 | 2026/02/22
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir: Kampeni ya Kitengo cha Wanawake “Ramadhan… Ruwaza ya Kweli ya Mabadiliko”

Mwezi mtukufu wa Ramadhan unatukumbusha kwamba Uislamu ulikuja tu kubadilisha ulimwengu na kutatua matatizo ya wanadamu kulingana na muongozo wa Mwenyezi Mungu (swt) na kwa ruwaza iliyowasilishwa katika Quran na Sunnah. Tunaposhuhudia dhulma, ukandamizaji, na misiba mingi na matatizo yanayoukumba ulimwengu wa Kiislamu na wanadamu kwa jumla, ni wazi kabisa kwamba tunahitaji sana ruwaza sahihi ya mabadiliko iliyo wasilishwa na Uislamu.

Soma zaidi...

Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir: Kitengo cha Wanawake “Kampeni ya Kimataifa - Vita vya Sudan: Hadithi ya Ukoloni, Usaliti na Udanganyifu”

Kitengo cha Wanawake katika Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir Kimezindua kampeni ya kimataifa kuangazia maafa yanayozidi kuwa mabaya ya kibinadamu yanayowakabili Waislamu wa Sudan. Kampeni hii pia itashughulikia: siasa na ajenda zilizofichwa nyuma ya mzozo huu.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu