Wale Walioiacha Gaza Kufa Hawawezi Kusimama Dhidi ya Uvamizi
- Imepeperushwa katika Uturuki
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Baada ya miaka 12, Rais Erdogan alifanya ziara rasmi nchini Misri na kukutana na Rais wa Misri Sisi. Viongozi hao wawili walitia saini taarifa ya pamoja kuhusu marekebisho ya vikao vya Baraza la Ushirikiano wa Kimkakati wa Ngazi ya Juu.