Ujumbe kwa Waislamu nchini Tanzania katika Siku Kuu ya Idd Al-Fitr
- Imepeperushwa katika Tanzania
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mwezi mtukufu wa Ramadhan umepita, na hapa tumefika katika siku iliyobarikiwa ya Idd Al-Fitr, na sisi katika Hizb ut Tahrir / Tanzania tunawapongeza Waislamu wa Tanzania na Ummah mzima wa Kiislamu kwa ujio wa Idd Al-Fitr, tukimuomba Mwenyezi Mungu (swt) kwamba iwe ni Idd njema na ya furaha.