Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 590
- Imepeperushwa katika Al-Rayah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Usaidizi wa kimaadili, kidiplomasia, na kisiasa pekee hautoshi kukomesha uvamizi wa kikatili! Waislamu wa Kashmir wanahitaji usaidizi wa kijeshi kutoka kwa Vikosi vya Wanajeshi wa Pakistan na mujahidina.
Kwa mnasaba wa kumbukumbu ya miaka 105 H (102 M) ya kuvunjwa kwa Dola ya Kiislamu (Khilafah Uthmani) na wakoloni makafiri, wakisaidiwa na wasaliti wa Kiarabu na Kituruki, na kufutwa kwa mfumo wa utawala wa Kiislamu (Khilafah) kutoka kwa Ummah wa Kiislamu, na kugawanyika kwa ardhi za Waislamu kuwa vidola dhaifu vinavyotawaliwa na vibaraka wa wakoloni makafiri, Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki iliandaa msururu wa semina na mikutano ya wakati mmoja katika maeneo 50 kote nchini Uturuki chini ya kichwa: “Khilafah si Khiyari, bali ni Dharura ya Kidini!”
Trump Mtawala wa Kiimla na Mtoto wake, Umbile la Kizayuni, Wameanzisha Shambulizi la Kikatili dhidi ya Iran
Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia katika mji wa Hammamet iliandaa kisimamo kwa kichwa “Ramadhan ni Mwezi wa Quran… Na Quran ni Njia Kamili ya Maisha”
Mwezi mtukufu wa Ramadhan unatukumbusha kwamba Uislamu ulikuja tu kubadilisha ulimwengu na kutatua matatizo ya wanadamu kulingana na muongozo wa Mwenyezi Mungu (swt) na kwa ruwaza iliyowasilishwa katika Quran na Sunnah. Tunaposhuhudia dhulma, ukandamizaji, na misiba mingi na matatizo yanayoukumba ulimwengu wa Kiislamu na wanadamu kwa jumla, ni wazi kabisa kwamba tunahitaji sana ruwaza sahihi ya mabadiliko iliyo wasilishwa na Uislamu.
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir: Kalima ya Kitengo cha Wanawake kwa Mnasaba wa Ujio wa Mwezi wa Ramadhan Uliobarikiwa 1447 H