Ijumaa, 17 Shawwal 1445 | 2024/04/26
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Vifo, Uharibifu na Umaskini ni Urithi wa Kuamini Ahadi za Magharibi

"Bado hatuna habari zote juu ya kile kilichotokea, lakini inaonekana kama hili ni janga baya zaidi kuwahi kuliona katika Bahari ya Mediterania," alisema Kamishna wa Mambo ya Ndani wa EU mnamo tarehe 16 Juni baada ya mashua iliyobeba wahamiaji kutoka Libya hadi Italy kupinduka katika pwani ya Ugiriki.

Soma zaidi...

Erdogan “Muislamu” Alishindwa katika Uchaguzi wa Rais na Erdogan Mwanademokrasia

Raia wa Uturuki katika uchaguzi wa Mei 28 walionyesha utashi na azma ya kuunga mkono njia ya maendeleo zaidi ya nchi. Hayo yamesemwa na Rais Recep Tayyip Erdogan, akiwahutubia wananchi waliokusanyika mnamo Jumatatu usiku kwenye Ikulu ya Rais jijini Ankara, tovuti ya shirika la habari la Anadolu inasema.

Soma zaidi...

Ni Nani Atakayekomesha Mauaji ya Waislamu na Ubomoaji wa Misikiti Nchini Ethiopia

Mnamo tarehe 2 Juni, kufuatia swala za Ijumaa, Waislamu 3 waliuawa na vikosi vya usalama vya Ethiopia nje ya Msikiti Mkuu, Msikiti wa Anwar jijini Addis Ababa, mji mkuu wa Ethiopia wakati wa maandamano ya amani ya kupinga uvunjaji wa mamlaka wa misikiti kadhaa nje ya mji na mipango kuvunja mengine zaidi.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu