Nusra (Msaada) Inatafutwa Kutoka Kwa Nani?!
Ijumaa, 9 Shawwal 1447 - 27 Machi 2026
Kutafuta Nusra (kuomba msaada) kunapaswa kufanywa kwa yule anayekubali Uislamu na kuuingia, na ambaye ni miongoni mwa watu wa nguvu na ulinzi, ili aweze kuinusuru dini na kusimamisha utawala kwa yale aliyoyateremsha Mwenyezi Mungu. Masharti haya mawili lazima yatimie kwa mnayeitafuta Nusra kwake. Ikiwa hatakubali Uislamu na kuuingia, au si katika watu wa nguvu na ulinzi wenye uwezo wa kuleta mabadiliko, peke yake au pamoja na wengine, basi hatakuwa miongoni mwa watu wa Nusra
Kati ya Magereza ya Wahubiri na Bandari za Silaha…Je, ni…
Huku magereza na vituo vya uzuizini vikiwa wazi kwa wabebaji wa Dawah wanaotaka utabikishwaji wa…
Rambirambi za Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir…
Tumepokea habari za kifo cha dada mwema Gamze Gürsoy / Zahra Malik (mwanachama wa Kitengo…
Al-Waqiyah TV: Pongezi za Kundi la Wabebaji Da’wah kwa…
Al-Waqiyah TV: Pongezi za Kundi la Wabebaji Da’wah kwa Mnasaba wa Idd ul-Fitr Iliyobarikiwa 1447…
Tanzia ya Mbebaji Ulinganizi: Ustadh Ibrahim Ismail Arar (Abu Khalil)
Kwa imani katika qadhaa ya Mwenyezi Mungu na kukubali mapenzi Yake, Afisi ya Habari ya…
Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 591
Vichwa Vikuu vya Toleo 591




