Jumanne, 13 Shawwal 1447 | 2026/03/31
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Makala Mpya

Nusra (Msaada) Inatafutwa Kutoka Kwa Nani?!

Nusra (Msaada) Inatafutwa Kutoka Kwa Nani?!

Ijumaa, 9 Shawwal 1447 - 27 Machi 2026

Kutafuta Nusra (kuomba msaada) kunapaswa kufanywa kwa yule anayekubali Uislamu na kuuingia, na ambaye ni miongoni mwa watu wa nguvu na ulinzi, ili aweze kuinusuru dini na kusimamisha utawala kwa yale aliyoyateremsha Mwenyezi Mungu. Masharti haya mawili lazima yatimie kwa mnayeitafuta Nusra kwake. Ikiwa hatakubali Uislamu na kuuingia, au si katika watu wa nguvu na ulinzi wenye uwezo wa kuleta mabadiliko, peke yake au pamoja na wengine, basi hatakuwa miongoni mwa watu wa Nusra

Afisi ya Habari

Matoleo

Trump Mtawala wa Kiimla na Mtoto wake, Umbile la Kizayuni, Wameanzisha Shambulizi la Kikatili dhidi ya Iran

Trump Mtawala wa Kiimla na Mtoto wake, Umbile la Kizayuni, Wameanzisha Shambulizi la Kikatili dhidi ya Iran

Jumamosi, 11 Ramadan 1447 - 28 Februari 2026

Amerika na umbile la Kiyahudi walizindua shambulizi kubwa la pamoja dhidi ya Iran siku ya Jumamosi, huku milipuko ikitikisa mji mkuu, Tehran, na miji mingine kadhaa, ikiwemo Qom, Isfahan, Kermanshah, ...

Hofu Halisi ya Magharibi: Ulimwengu wa Kiislamu Ulioungana

Hofu Halisi ya Magharibi: Ulimwengu wa Kiislamu Ulioungana

Jumapili, 1 Rajab 1447 - 21 Disemba 2025

Katika mahojiano ya hivi karibuni ya Fox News na Sean Hannity, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Marco Rubio alifufua usemi maarufu wa “Uislamu wenye msimamo mkali,” Khilafah inayopanuka, na vitisho ...

Habari za Dawah

Rambirambi za Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir na Wafanyikazi wake wote

Rambirambi za Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir na Wafanyikazi wake wote

Ijumaa, 9 Shawwal 1447 - 27 Machi 2026

Tumepokea habari za kifo cha dada mwema Gamze Gürsoy / Zahra Malik (mwanachama wa Kitengo cha Wanawake katika Afisi Kuu ya Habari); kwani Mwenyezi Mungu alimchukua asubuhi ya leo, Ijumaa, 09 Shawwal 1...

Al-Waqiyah TV: Pongezi za Kundi la Wabebaji Da’wah kwa Mnasaba wa Idd ul-Fitr Iliyobarikiwa 1447 H

Al-Waqiyah TV: Pongezi za Kundi la Wabebaji Da’wah kwa Mnasaba wa Idd ul-Fitr Iliyobarikiwa 1447 H

Alhamisi, 1 Shawwal 1447 - 19 Machi 2026

Al-Waqiyah TV: Pongezi za Kundi la Wabebaji Da’wah kwa Mnasaba wa Idd ul-Fitr Iliyobarikiwa 1447 H ...

Tanzia ya Mbebaji Ulinganizi: Ustadh Ibrahim Ismail Arar (Abu Khalil)

Tanzia ya Mbebaji Ulinganizi: Ustadh Ibrahim Ismail Arar (Abu Khalil)

Jumatano, 15 Ramadan 1447 - 04 Machi 2026

Kwa imani katika qadhaa ya Mwenyezi Mungu na kukubali mapenzi Yake, Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Jordan inaomboleza mmoja wa wanachama wake, mbebaji da’wah ya Uislamu: Ustadh Ibrah...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia: Amali ya Jioni ya Ramadhan: “Mikataba ya Kimataifa... Mkataba wa Hudaybiyyah kama Mfano”

Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia: Amali ya Jioni ya Ramadhan: “Mikataba ya Kimataifa... Mkataba wa Hudaybiyyah kama Mfano”

Alhamisi, 1 Shawwal 1447 - 19 Machi 2026

Kamati Kuu ya Mawasiliano ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah ya Tunisia iliandaa amali ya jioni ya Ramadhan iliyopewa kichwa “Mikataba ya Kimataifa: Mkataba wa Hudaybiyyah kama Mfano” siku ya Jumapili, ...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu