Afisi Kuu ya Habari: Kitengo cha Wanawake “Iokoeni Masra!”
- Imepeperushwa katika Habari ya Dawah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kitengo cha Wanawake katika Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir: “Iokoeni Masra!”
Kitengo cha Wanawake katika Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir: “Iokoeni Masra!”
Tumepokea habari za kifo cha dada mwema Gamze Gürsoy / Zahra Malik (mwanachama wa Kitengo cha Wanawake katika Afisi Kuu ya Habari); kwani Mwenyezi Mungu alimchukua asubuhi ya leo, Ijumaa, 09 Shawwal 1447 H, sambamba na 27/03/2026 M.
Pongezi za Kitengo cha Wanawake kwa Mnasaba wa Ujio wa Idd ul-Fitr Iliyobarikiwa 1447 H
Mwezi mtukufu wa Ramadhan unatukumbusha kwamba Uislamu ulikuja tu kubadilisha ulimwengu na kutatua matatizo ya wanadamu kulingana na muongozo wa Mwenyezi Mungu (swt) na kwa ruwaza iliyowasilishwa katika Quran na Sunnah. Tunaposhuhudia dhulma, ukandamizaji, na misiba mingi na matatizo yanayoukumba ulimwengu wa Kiislamu na wanadamu kwa jumla, ni wazi kabisa kwamba tunahitaji sana ruwaza sahihi ya mabadiliko iliyo wasilishwa na Uislamu.
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir: Kalima ya Kitengo cha Wanawake kwa Mnasaba wa Ujio wa Mwezi wa Ramadhan Uliobarikiwa 1447 H
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir inafuraha kuwasilisha kwa wafuatiliaji na wanaozuru kurasa za Afisi Kuu ya Habari DVD mpya katika lugha nane yenye kichwa: “Kampeni ya Kimataifa - Vita vya Sudan: Hadithi ya Ukoloni, Usaliti na Udanganyifu”
Kitengo cha Wanawake katika Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir Kimezindua kampeni ya kimataifa kuangazia maafa yanayozidi kuwa mabaya ya kibinadamu yanayowakabili Waislamu wa Sudan. Kampeni hii pia itashughulikia: siasa na ajenda zilizofichwa nyuma ya mzozo huu.
Pongezi kote ulimwenguni kutoka kwa kundi la wabebaji Dawah kutoka Hizb ut Tahrir kwa mnasaba wa Idd ul-Adha 1446 H.
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir: Pongezi za Kitengo cha Wanawake kwa Mnasaba wa Idd ul-Adha 1446 H
Pongezi za wabebaji da’wah miongoni mwa mashababu wa Hizb ut Tahrir kutoka kote ulimwenguni kwa Umma wa Kiislamu kwa mnasaba wa ujio wa Idd ul-Fitr Al-Mubarak 1446 H