Serikali Sasa Yazitumia Benki Kuwafunga Waislamu Kifedha
- Imepeperushwa katika Uholanzi
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
NRC Handelsblad ilichapisha makala mnamo tarehe 2 Agosti 2022 ambapo walifichua kwamba benki za Uholanzi zilizuia pasi na haki akaunti za benki za mashirika ya Kiislamu kwa miezi kadhaa.