Jumanne, 09 Ramadan 1445 | 2024/03/19
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Hizb ut Tahrir / Wilayah: Kongamano “Khilafah ndio Mkombozi wa Nchi na Mtetezi wa Waja”

Kwa mnasaba wa kumbukumbu ya miaka 100 M (103 H) ya kuvunjwa Dola ya Kiislamu (Khilafah) na chini ya giza la uvamizi na mauaji ya halaiki yanayoendelea dhidi ya watu wetu katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina), Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon ilifanya kongamano lenye kichwa: “Khilafah ndio Mkombozi wa Nchi na Mtetezi wa Waja”

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki: Makongamano na Amali kwa Mnasaba wa Kumbukumbu ya Miaka Mia Miladiya ya Kuvunjwa Khilafah!

Kwa mnasaba wa miaka 100 M (103 H) ya makafiri wakoloni kwa msaada wa makhaini wa Kiarabu na Kituruki, kuivunja dola ya Kiislamu (Khilafah Uthmani) na kuuondoa mfumo wa utawala katika Uislamu (Khilafah) kutoka katika maisha ya Umma wa Kiislamu, Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki inaandaa msururu/ wa makongamano, semina na mikutano mikubwa katika ngazi ya Uturuki.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia: Matembezi ya Kuinusuru Gaza “Palestina ilipotea baada ya Kuvunjwa Khilafah, na Kurudi kwake itaregea kama Khilafah kwa Njia ya Utume”

Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia iliandaa matembezi “Palestina ilipotea baada ya kuvunjwa Khilafah na kurudi kwake itaregea kama Khilafah kwa Njia ya Utume” baada ya Swala ya Ijumaa mbele ya Msikiti wa Al-Fatah katika mji mkuu.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Denmark: Kongamano la Khilafah 2024 “Miaka Mia bila ya Khilafah!”

Kwa mnasaba wa miaka 100 M (103 H) ya mkoloni kafiri, kwa msaada wa makhaini wa Kiarabu na Kituruki, kuivunja Dola ya Uislamu (Khilafah Uthmani) na kuondolewa kwa mfumo wa utawala katika Uislamu (Khilafah) kutoka kwa maisha ya Umma wa Kiislamu, Hizb ut Tahrir / Denmark inaandaa Kongamano la kila mwaka la Khilafah.

Soma zaidi...

Uamuzi wa Mahakama ya Shirikisho kuhusu Utekelezaji Sharia wa Kelantan - Umetumia Sharia ipi?

Mnamo Agosti 2023, mawakili wawili, Nik Elin Zurina na Tengku Yasmin, waliwasilisha ombi kwa lengo la kubatilisha vifungu18 ndani ya Sharia ya Jinai ya Kelantan. vifungu hivyo, vilivyoainishwa chini ya Sharia ya Kiislamu, viko chini ya mamlaka ya Bunge la Jimbo la Kelantan (DUN).

Soma zaidi...

Zanzibar Inahitaji Mabadiliko ya Kimsingi Kukabiliana na Mporomoko wa Maadili

Kutokana hatua ya Baraza la Sanaa, Sensa ya Filamu na Utamaduni la Zanzibar kumzuia kwa miezi sita Zuchu, mwimbaji mziki wa Bongo fleva asifanye maonesho yake Zanzibar kuanzia tarehe 5 Machi 2024 kufuatia uimbaji wake usio na maadili katika onesho la Full Moon Kendwa Night Show lililofanyika kaskazini mwa Zanzibar mnamo tarehe 24 Februari 2024, sisi Hizb ut Tahrir /Tanzania tungepependa kusema yafuatayo:

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu