Kiburi cha Trump Lazima Kijibiwe kwa Kusimamisha Tena Khilafah Rashida ya Pili!
- Imepeperushwa katika Afghanistan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kwa mara nyengine tena, Donald Trump amechukua msimamo wa kiburi na vitisho kuelekea serikali ya Afghanistan na Waislamu, na kutangaza: “Ikiwa Afghanistan haitarudisha Kambi ya Anga ya Bagram kwa wale walioijenga, Marekani, MAMBO MABAYA YATATOKEA,”