Jumamosi, 21 Muharram 1446 | 2024/07/27
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Serikali ya Uzbekistan Inataka Kuwafunga Wafungwa 39 Wa Zamani wa Kisiasa kwa Miaka Mingi Zaidi

Enyi Waislamu wa Uzbekistan! Je, mnajua kwamba miongoni mwenu kuna vijana wachamungu na wenye ikhlasi ambao wamekaa miaka mingi ya maisha yao katika magereza, katika vyumba vilivyojaa unyevunyevu, katika hali ya kinyama iliyojaa shinikizo la kisaikolojia na kimwili, kwa sababu ya kusema kwao, “Mola wetu Mlezi ni Mwenyezi Mungu”?!

Soma zaidi...

Wajibu wa Serikali ya Uzbekistan kwa Palestina, Gaza na Al-Aqsa

Miezi minne imepita tangu Operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa ya Mujahidina wana wa Palestina mnamo tarehe 7 Oktoba 2023 dhidi ya umbile la Kiyahudi linalokalia kwa mabavu. Inafahamika kwamba Mayahudi waliolaaniwa hawakuikalia kwa mabavu ardhi iliyobarikiwa ya Palestina na Msikiti wa Al-Aqsa tu, bali tangu wakati huo wamekuwa wakitekeleza sera ya kikatili ya mauaji ya halaiki dhidi ya Waislamu wa huko.

Soma zaidi...

Kushiriki kwa Serikali ya Uzbekistan katika Mkutano wa nchi za Kiarabu na Kiislamu uliofanyika jijini Riyadh

Mnamo Novemba 11, mkutano wa kilele wa nchi za Kiarabu na Kiislamu ulifanyika jijini Riyadh, mji mkuu wa Saudi Arabia, ambapo hali katika Ukanda wa Gaza ilijadiliwa. Waziri Mkuu wa Uzbekistan Abdulla Aripov alishiriki katika mkutano huo. Katika hotuba yake, Aripov hakuenda zaidi ya "kuwataka wahusika kufikia amani ...",

Soma zaidi...

Kubadilisha Serikali kwa Takwimu Mpya za Uongozi si Lolote zaidi ya Kutia Viraka Mfumo!

Baada ya muda mfupi kufuatia kuchaguliwa kwa Shavkat Mirziyoyev kama rais kwa mara ya tatu, alianza mfululizo wa mageuzi, lengo kuu likiwa ni suala la wafanyikazi. Inafaa kukumbuka kuwa zaidi ya maafisa 80 kutoka ngazi mbalimbali za mahakama, masuala ya ndani na mfumo wa kodi walifutwa kazi.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu