Jumanne, 09 Ramadan 1445 | 2024/03/19
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Hizb ut Tahrir / Amerika: Amali Pana za Kuyataka Majeshi ya Waislamu Kuikomboa Al-Aqsa!

Hizb ut Tahrir / Amerika iliandaa amali pana katika miji mbali mbali kutoka Amerika Mashariki hadi Magharibi yake zikiyataka majeshi ya Waislamu kutaharaki kwa ajili ya kuwanusuru Waislamu wanyonge katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) na kuukomboa Msikiti uliobarikiwa wa Al-Aqsa na Palestina yote inayokaliwa kimabavu kuanzia mto wake hadi bahari yake kutokana na makucha ya Mayahudi wauaji wanyakuzi.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Amerika: Kisimamo mbele ya Ubalozi wa Uturuki cha Kuyaomba Nusra Majeshi ya Waislamu Kuikomboa Al-Aqsa

Mbele ya ushujaa waliouonyesha Mujahidina katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) chini ya kauli mbiu (Kimbunga cha Al-Aqsa) dhidi ya umbile la Kiyahudi linaloendelea na kudumu kuushambuliwa Msikiti uliobarikiwa wa Al-Aqsa, na uzingiraji wake na ulipuaji wake mabomu unaoendelea kwa miaka 17 kwenye Ukanda wa Gaza

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu