Ukanushaji wa Uislamu Juu ya Nadharia ya Usawa wa Kijinsia
- Imepeperushwa katika Uchambuzi
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Utukufu ni Wake ambaye amemuumba mwanaadamu na kumtengeneza, akampulizia roho, na akamtunukia akili.
Uvamizi wa Urusi Ukraine ulioripuka mnamo Februari 24 ya mwaka huu umepelekea mzozo mkubwa wa wakimbizi ambapo Ulaya imeshuhudiwa ikifungua mipaka yake ya kitaifa, ikiwakaribisha zaidi ya Waukraine milioni tatu katika kipindi cha chini ya wiki mbili!
Kila siku, katika kila swala, ya faradhi au nafila, Waislamu wanasoma kauli ya Mwenyezi Mungu (swt), aya katika Surat Al-Fatiha:
Kumekuwa na mazungumzo mengi juu ya kifo cha dolari na katika muongo mmoja uliopita, idadi kadhaa ya wenye kushindana imeibuka kudai nafasi ya ubwana wa dolari.
Gazeti la Express Tribune nchini Pakistan limeripoti mnamo tarehe 30 Januari 2022, “Upandikizaji wa mwanzo uliobadilishwa kigenetiki wa moyo wa nguruwe kwa mgonjwa anayeugua mahututi umechemsha mjadala mkali miongoni mwa Waislamu kote duniani.
Wakati Ummah ukielekea katika ufahamu wake jumla wa kutoshindikana kurejea kwa Khilafah, tunaona baadhi ya watu wakimtafuta mkombozi kutoka kwa pote la viongozi walio mamlakani, ambaye anafaa zaidi kwa jukumu hili, na wanapendelea Raisi wa Uturuki Erdogan kuwa ndiye mwenye kufaa kwa jukumu hili.
BBC iliripoti mnamo tarehe 2 Disemba kwamba miundombinu inayoporomoka ya Afghanistan imesababisha kukaribia kutoweka kwa mfumo wa huduma za afya na ustawi wa jamii.
Mnamo miaka ya 90 ya karne ya 20, wakati serikali kuu ya Urusi ilipokuwa dhaifu, kwa ajili ya kuihifadhi serikali hiyo, ilitengeneza maridhiano mengi na umma na viongozi wa nchi za “jamhuri” na “tawala huru”, kwa ukarimu “kuzifadhili” kwa “mamlaka” bandia ili kuhifadhi nguvu zake juu yao.
Vipindi vya televisheni vya Amerika na maigizo ya tamthilia, mwanzoni vilionekana kama vitu visivyo na madhara katika kujiburudisha.