Uongozi wa Kisiasa na Kijeshi wa Pakistan Uko katika Ukurasa Mmoja Kuhusiana na Kujisalimisha kwa Chombo cha Amerika, FATF
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mkuu wa Majeshi ya Pakistan (COAS), Jenerali Qamar Javed Bajwa, mnamo Ijumaa tarehe 17 Juni alilitaja tangazo la Jopo Kazi la Kifedha (FATF), kama "mafanikio makubwa" kwa Pakistan.