Uagizaji Mchele kutoka Nje: Ukoloni na Uuaji wa Kilimo
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mahakama Kuu ya Kenya hivi majuzi imeondoa marufuku ya serikali ya kuagiza mchele kutoka nje ya nchi bila ushuru, na hivyo kufungua njia kwa wafanyibiashara kulijaza sokoni kwa mchele wa bei nafuu wa kigeni. Ingawa hatua hiyo inaweza kusherehekewa na wengine kama njia ya kupunguza gharama ya maisha, athari zake za kina haziwezi kupuuzwa.