Jarida la Al-Waie: Vichwa Vikuu vya Habari vya Toleo 429
- Imepeperushwa katika Afisi Kuu ya Habari
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
Hizb ut Tahrir/ Wilayah Pakistan itaandaa kampeni yenye kichwa, "Kataeni Demokrasia na Msimamishe Khilafah" kwenye mitandao ya kijamii mwezi mzima ujao, InshaAllah. Kampeni hii inaleta ufahamu katika mifumo ya serikali, uchumi, na vikosi vya kijeshi vya Khilafah Rashida itakayosimama hivi karibuni, InshaAllah.
Hizb ut-Tahrir / Sweden iliandaa kampeni kwa anwani “Upandikizaji Usekula: Sera ya Unyambulishaji!”
Jitayarisheni na msubiri wito wangu kwa Islamabad, Imran Khan asema huko Lahore Jalsa “LAHORE: Mwenyekiti wa PTI Imran Khan Alhamisi aliwataka Wapakistani kujitayarisha kuanzisha kampeni ya "uhuru halisi" na kusubiri wito wake kwa Islamabad, huku Waziri Mkuu huyo aliyeng’atuliwa mamlakani akisisitiza hatakubali "serikali iliyoingizwa kutoka nje" kwa gharama yoyote.”
Mtego wa madeni ya riba unaosimamiwa na IMF umemaanisha kuwa deni la Pakistan limepanda kutoka Rupia trilioni 10 mwaka 2011 hadi trilioni 40 mwaka 2022.
Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki iliandaa programu nyingi za iftar katika miji mikubwa zaidi ya 20 kote nchini Uturuki kwa kuwashirikisha wawakilishi wa vyama vya kisiasa, waandishi habari, vyombo vya habari na mashirika yasiyo ya kiserikali.
“Utiifu kwa Wenye Mamlaka katika Kuanza Kufunga na Kufungua Saumu”
Ili Kutazama Sehemu za Miezi Iliyopita Bonyeza Hapa