IMF: Chombo cha Matatizo ndani ya Mfumo wa Kinyonyaji wa Kibepari
- Imepeperushwa katika Siasa
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mfuko wa Fedha wa Kimataifa (IMF) ni taasisi ambayo wengi ya watu katika nchi zinazoendelea wanaitambua.
Mfuko wa Fedha wa Kimataifa (IMF) ni taasisi ambayo wengi ya watu katika nchi zinazoendelea wanaitambua.
Mnamo tarehe 12/9/2023, Baraza Kuu la Muungano unaoitwa Muungano wa Upinzani ulimchagua Hadi Al-Bahra kuwa rais wake mpya.
Kuanzia Septemba 5 hadi 8, 2023 Tanzania ilikuwa mwenyeji wa Mkutano wa 13 wa Jukwaa la Mifumo ya Chakula Afrika. Mkutano huo ulioendeshwa ana kwa ana, na mtandaoni ulikuwa na wazungumzaji zaidi ya 350, zaidi ya wahudhuriaji 3,000 kutoka zaidi ya nchi zaidi 70.
Serikali ya Ufaransa imeanzisha marufuku ya uvaaji wa Abayah katika shule za Ufaransa, ambayo ilianza kutekelezwa mwezi huu wa Septemba. Ilisema kwamba mavazi ya kidini yanahujumu kanuni za kisekula zinazounda msingi wa dola yake, na kutoegemea upande wowote wa kidini ndani ya shule.
Mnamo Agosti 27, 2023, uongozi wa yale yanayojulikana kama SDF (Majeshi ya Kidemokrasia ya Syria), pia yanayojulikana kama QSD, yalimkamata kiongozi wa baraza la jeshi la Deir Ez-Zor baada ya kumvutia, pamoja na baadhi ya makamanda wake, kwenye mkutano mmoja katika kambi ya Waziri huko Al-Hasakah.
Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon:
Kalima ya Kikao Kilichositishwa cha Hizb ut-Tahrir katika Uwanja wa Nejmeh – Sidon
Agosti 31 inaadhimishwa kama Siku ya Uhuru ya Kyrgyzstan tangu 1991. Kwa hivyo, je! Kyrgyzstan kweli ni dola huru? Tunatafuta kulijibu swali hili kwa kuchunguza ukweli wa kihistoria na istilahi.