Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Maoni ya Habari 09/04/2025 M
- Imepeperushwa katika Pakistan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Maoni ya habari yaliyotolewa na Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilaya ya Pakistan.
Maoni ya habari yaliyotolewa na Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilaya ya Pakistan.
Matembezi yalioandaliwa na Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Tunisia yalitoka katika mji mkuu wa Tunis, baada ya swala ya Ijumaa, mnamo tarehe 13 Shawwal al-Khair 1446 H sawia na tarehe 11 Aprili 2025 M kuanzia Msikiti wa Al-Fath kunusuru watu wa Palestina na Msikiti wa Al-Aqsa ulio mateka, ambayo yaliitishwa na watu wa Zaytouna Tunisia chini ya kichwa: “Gaza Inahitaji Majeshi Kuwapindua Watawala na Kutangaza Jihad”
Enyi Majeshi “Mna nini mnapo ambiwa: Nendeni katika Njia ya Mwenyezi Mungu, mnajitia uzito katika ardhi?”
Mnamo tarehe 31 Machi 2025, jeshi la Kiyahudi lilitoa maagizo makubwa ya kuwahamisha watu wa Rafah na maeneo ya karibu. Enyi majeshi ya Waislamu! Adui yenu ametangaza kukoleza vita, na bado hamujajiunga na vita, baada ya miezi kumi na nne! Haaman, jemadari wa Firauni dhalimu wa Misri, sasa yuko Motoni, pamoja na jeshi lake. Kuwatii madhalimu si udhuru mbele ya Mwenyezi Mungu ﷻ. Wapunguzieni majeshi mizigo ya Mafirauni wa leo. Mteueni Khalifa Rashid na musonge kuinusuru Gaza. Au munasubiri kuungana na Haaman na jeshi lake? Au mnangoja kubadilishwa na wale wanaomcha Mwenyezi Mungu pekee?
Kwa kuzingatia mauaji ya kikatili (mauaji ya halaiki) ambayo yamekuwa yakiendelea kwa zaidi ya miezi 18, yanayofanywa na umbile halifu la Kiyahudi dhidi ya Waislamu wasio na ulinzi katika Ukanda wa Gaza uliozingirwa, ambayo yamesababisha kuuawa shahidi, kujeruhiwa na kupotezwa zaidi ya wanaume na wanawake 170,000 wa Kiislamu hadi sasa, Hizb ut Tahrir / Wilaya ya Pakistan inaandaa msururu wa amali kwa kichwa: “Majeshi na Yaelekee Al-Aqsa”
zaidi ya miezi 18, yanayofanywa na umbile halifu la Kiyahudi dhidi ya Waislamu wasio na ulinzi katika Ukanda wa Gaza uliozingirwa, ambayo yamesababisha kuuawa shahidi, kujeruhiwa na kupotezwa kwa wanaume na wanawake wa Kiislamu zaidi ya elfu 170 hadi sasa, Hizb ut Tahrir/Wilayah Lebanon iliandaa maandamano ambayo yalizunguka mitaa ya Tripoli, Syria, chini ya kichwa: “Damu ya Gaza ni Damu Yetu, Enyi Majeshi ya Umma!”
Maoni ya habari yaliyotolewa na Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilaya ya Pakistan.
Kwa kuzingatia mauaji ya kikatili ya halaiki ambayo yamekuwa yakiendelea kwa zaidi ya miezi 17, yanayofanywa na umbile halifu la Kiyahudi dhidi ya Waislamu wasio na ulinzi katika Ukanda wa Gaza uliozingirwa, ambayo yamesababisha kuuawa shahidi na kujeruhiwa kwa Waislamu zaidi ya 170,000, wanaume na wanawake hadi sasa, Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Uturuki iliandaa msururu wa amali kufuatia umbile halifu la Kiyahudi kukiuka makubaliano dhaifu ya kusitisha mapigano alfajiri ya Jumanne, 18 Machi 2025.
Kufuatia mashambulizi ya kikatili ya Gaza na umbile la Kiyahudi, umbile hilo lilipanua mashambulizi yake ya ardhini huko Gaza mnamo 20 Machi 2025. Wakati huo huo, viongozi wa kisiasa na kijeshi wa Waislamu wanashughulika kumfurahisha Farauni wa Washington, Trump, na majeshi yetu yanatumiwa katika vita vya uasi. Tunaweza kuuliza majeshi ya Waislamu: Je, si ndugu zenu Waislamu ndio walioifanya Marekani ionje kushindwa nchini Iraq na Afghanistan?