Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 613
- Imepeperushwa katika Al-Rayah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Hizb ut Tahrir/Wilayah Sudan iliimarisha shughuli zake za umma wakati wa mwezi Julai 2026, ikihimiza jamii ya Waislamu kufanya kazi nayo ili kuanzisha jengo kubwa la Uislamu: Khilafah Rashida kwa njia ya Utume. Shughuli maarufu zaidi za Hizb ut Tahrir katika Wilayah Sudan zilikuwa kama ifuatavyo:
Hizb ut Tahrir / Bangladesh yaandaa kongamano la kisiasa lenye kichwa: “Kongamano la Bajeti ya Kitaifa - Mwongozo wa Bajeti ya Kiislamu Inayojitosheleza kwa Dhati”
Hizb ut Tahrir / Sudan iliimarisha shughuli zake za umma wakati wa mwezi wa Juni 2026, ikiuhimiza Ummah kufanya kazi nayo ili kuanzisha jengo kubwa la Uislamu: Khilafah Rashida kwa Njia ya Utume. Shughuli maarufu zaidi za Hizb ut Tahrir katika wilayah ya Sudan zilikuwa kama ifuatavyo:
Hakuna makubaliano ambayo yamefikiwa kuhusu pendekezo lolote. Kwa hivyo, msimamo wa sasa wa Iran ni upi? Je, imekuwa dola huru, inabaki kuwa dola ya satelaiti, au inayumbayumba kati ya hizo mbili? Jazakum Allah Khair.