Kijana Ashambuliwa Kinyama na Polisi
- Imepeperushwa katika Amerika
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mnamo tarehe 27 Julai 2022, Hadi Abuatelah mwenye umri wa miaka 17 alipigwa kikatili na maafisa watatu wa polisi wa Oak Lawn huko Illinois.
Mnamo tarehe 27 Julai 2022, Hadi Abuatelah mwenye umri wa miaka 17 alipigwa kikatili na maafisa watatu wa polisi wa Oak Lawn huko Illinois.
Pamoja na mivutano yote inayozunguka kung'atuliwa kwa Trump na kuapishwa kwa Biden kama rais mpya wa Amerika, haipaswi kupotea kwa mujtamaa, kwa jamii za kikabila na haswa, jamii yetu tishio la usalama linalosababishwa na wazalendo weupe wa mrengo wa kulia.
Kile ambacho ulimwengu umeshuhudia leo ni kuvunjika kimsingi kwa uongozi na serikali iliyofeli ambayo inajali zaidi faida ya kisiasa kuliko kuchunga mambo ya watu.
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir imezindua kampeni hii ya kiulimwengu kuadhimisha Ukombozi wa Konstantinopoli iliyo zingirwa kuanzia 26 ya Rabii’ al-Awwal mpaka 20 Jumada al-Awwal 857 H sawia na 5 Aprili hadi 29 Mei 1453 M.