Mdororo wa Kiuchumi Unaonukia, na Nuru ya Uislamu
- Imepeperushwa katika Amerika
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mwaka huu, tunapokabiliana na kupanda kwa bei, kuongezeka kwa gharama ya maisha, kupungua kwa akiba na kuongezeka kwa utovu wa usawa wa mapato, inaaminika sana kwamba uchumi wa dunia unaelekea kwenye mdororo na hali ya uchumi kwa mamilioni ya watu itakuwa mbaya zaidi.