Jumatatu, 07 Sha'aban 1447 | 2026/01/26
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Hizb ut Tahrir / Tanzania Yafanya Semina kwa Mnasaba wa Kumbukumbu ya Miaka 105 ya Kuvunjwa kwa Khilafah

Katika kumbukumbu ya miaka 105 ya kuvunjwa kwa Dola ya Khilafah iliyotokea mnamo Rajab 1342 H / Machi 1924 M, jana, Jumapili, 29 Rajab 1447 H / 18 Januari 2026 m, Hizb ut Tahrir / Tanzania ilifanya semina fupi katika Masjid Taqwa, Ilala Bungoni katika jiji la Dar es Salaam.

Soma zaidi...

Bunge la Ulaya na Maazimio ya Ukoloni Mambo Leo

Wiki iliyopita Bunge la Jumuiya ya Ulaya (EU) lilitoa mwito kwa Tanzania kuchukua hatua kadhaa ikiwemo kutatua kesi waliyosema ina msukumo wa kisiasa ya kiongozi wa chama cha upinzani, kutoa uhuru zaidi wa kisiasa kupitia majadiliano, kufanya mabadiliko ya sheria za uchaguzi,kuheshimu haki ya vyama kushiriki katika uchaguzi huru nk.

Soma zaidi...

Uchumi wa Kibepari Unasambaratisha Familia na Misingi yake

Warsha ya karibuni ya kinachoitwa ‘usawa wa kijinsia’ iliyofanyika ndani Ngorongoro, Kaskazini mwa Tanzania iliibua suala la uwepo baadhi ya wanandoa kutoka katika jamii za wafugaji ambao wametelekezwa na waume zao walioondoka vijijini kwenda mijini kutafuta kazi, na wakati mwengine waume hao hawarudi katika familia zao.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Tanzania Yatoa Wito kwa Majeshi ya Waislamu Kuiokoa Gaza

Kufuatia kampeni ya zaidi ya mwaka ya mkaliaji kimabavu umbile la Kiyahudi, ushenzi na dhulma kwa Waislamu wa Gaza na ardhi jirani za Waislamu zinafanywa kwa msaada wa Marekani, na mataifa mengine ya Kimagharibi na ushirikiano wa vibaraka katika ardhi za Waislamu.Hizb ut Tahrir / Tanzania ilifanya visimamo baada ya swala ya Ijumaa katika sehemu mbalimbali kupinga ukatili wa umbile la Kiyahudi na kutoa wito kwa majeshi ya Waislamu hususan Misri, Jordan, Syria, Uturuki, Saudi Arabia nk, kusonga mara moja ili kuwaokoa Waislamu wa Gaza.

Soma zaidi...

IMF Kusifia Uchumi wa Tanzania ni Kuficha Uovu wa Shirika hilo

Kauli ya karibuni ya Mkurugenzi Mtendaji wa IMF kwa Afrika bwana Willie Nakunyanda aliyoitoa Washington DC katika makao makuu ya IMF kwa ujumbe wa Tanzania, kwa kusifia, kupongeza na kuurembaremba uchumi wa Tanzania si chochote zaidi ya kebehi na dharau kwa Tanzania, wananchi wake na watu wa nchi changa kwa ujumla. Kauli hiyo inalenga kuficha nyuma ya pazia lengo baya, la kikoloni na la dhulma la taasisi za IMF na Benki ya Dunia (Bretton Woods Institutions).

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu