Hizb ut Tahrir / Tanzania Yafanya Visimamo vya Kuyataka Majeshi ya Waislamu Kuiokoa Gaza
- Imepeperushwa katika Tanzania
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Hizb ut Tahrir / Tanzania ilifanya visimamo baada ya swala ya Ijumaa (7 Juni 2024) katika sehemu mbalimbali kukemea ukatili wa umbile la Kiyahudi na kuwasilisha suluhisho la Kiislamu juu yake.