Mauaji ya Polisi: Hulka ya Kibepari ya Ukatili na Kutojali Sheria
- Imepeperushwa katika Kenya
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Maafisa watatu wa polisi nchini Kenya wameshtakiwa kwa mauaji ya mwanablogu mwenye umri wa miaka 31 aliyefariki akiwa mikononi mwa polisi mapema mwezi huu. Kifo cha Albert Ojwang kimezua hasira nchini Kenya huku maandamano yakifanyika kudai haki.