Jumanne, 09 Ramadan 1445 | 2024/03/19
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Watawala wa Pakistan Wametoa Kiapo cha Utiifu kwa Mfumo wa Kimataifa unaoongozwa na Marekani, Kuyafanya Watumwa Majeshi Yetu, Kuuweka Uchumi Wetu Rehani kwa Taasisi za Kimataifa na Kuufanya Mfumo Wetu wa Utawala na wa Kisiasa Mtiifu kwa Magharibi

Huku sokomoko ya uchaguzi ikiendelea nchini Pakistan, Waislamu wa Pakistan wanaungua kwa hasira na mfadhaiko kutokana na mauaji ya ndugu na dada zao wa Kipalestina huko Gaza, mikononi mwa umbile halifu la Kiyahudi.

Soma zaidi...

Enyi Maulamaa Waheshimiwa wa Pakistan! Gaza Inaungua, Huku Watawala wa Pakistan waki ni Watazamaji Wasiochukua Hatua. Lazima Muwanusuru Waislamu wa Gaza, kwa Kutoa Wito wa Jihad kwa Wanajeshi wa Pakistan kwa ajili ya Ukombozi wa Ardhi Iliyobarikiwa y

Maulamaa waheshimiwa wa Pakistan! Umbile la Kiyahudi linaijaza anga ya Ardhi Iliyobarikiwa ya Palestina moto na moshi, huku ikinywesheza ardhi yake kwa damu na machozi ya Waislamu. Miezi miwili imepita, ilhali, hakuna jeshi hata moja la Waislamu lililotaharaki kulifukuza jeshi la adui linaloshambulia.

Soma zaidi...

Kupigania Utukufu wa Kijeshi na Kiraia Kumeifikisha Pakistan kwenye Ukingo wa Maangamivu. Uokovu Wetu Pekee ni kwa Utukufu wa Shariah, kupitia Kusimamisha Khilafah kwa Njia ya Utume

Kwa muda wa wiki kadhaa zilizopita, siasa za Pakistan zimeshikiliwa na ubabe, uhasama, machafuko na ukosefu wa utulivu. Sababu ya mgogoro huu wa kisiasa ni mapigano ya kindani ya makundi ya wenye ushawishi kati ya majaji, majenerali na wanasiasa. Hakuna kundi lolote linalojali matatizo halisi ya watu.

Soma zaidi...

Mabadiliko Yanayohitajiwa na Pakistan ni Siasa Mpya na Dola Mpya kwa Msingi wa Wahyi kutoka kwa Mwenyezi Mungu (swt); Khilafah kwa Njia ya Utume

Katika miaka michache iliyopita mateso ya Waislamu wa Pakistan yameongezeka mara kwa mara, kutokana na matatizo ya kiuchumi. Zaidi ya hayo, kipindi hicho hicho kimeshuhudia kuongezeka kwa machafuko ya kisiasa na ukosefu wa utulivu, na kushindwa kwa utawala nchini Pakistan.

Soma zaidi...

Wale Wote Wanaotaka Uhuru kutokana na Marekani, Lazima Wafanye Kazi ya Kusimamisha Tena Khilafah kwa Njia ya Utume

Mjadala wa nchi nzima, kutoka kwa raia hadi kwa watu walio mamlakani, umepanuka kutoka kwa kuanguka kwa Rupia mbele ya dolari ya Kimarekani, na utumiaji wa anga ya Pakistan kwa droni za Amerika, hadi jinsi Pakistan inaweza kuwa huru kikweli, wakati tunabeba hasara kubwa kwa uchumi wetu, elimu, afya na usalama.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu