Ujumbe kutoka Hizb ut Tahrir katika Wilaya ya Lebanon Wamtembelea Meya wa Sidon
- Imepeperushwa katika Lebanon
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Ujumbe kutoka Hizb ut Tahrir katika Wilayah ya Lebanon, uliowakilishwa na Kamati ya Shughuli katika Eneo la Kusini na Kamati Kuu ya Mawasiliano, ulifanya ziara ya kumkaribisha Meya wa Sidon, Mheshimiwa Mhandisi Mustafa Hijazi, mnamo Jumatatu tarehe 25/8/2025.