Wanawake lazima Wauone Udanganyifu wa Fikra ya Anuwai na Ushirikishwaji katika Siasa za Kiliberali
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Chaneli ya Kiislamu ilijadili ripoti mpya inayofichua miondoko ya chuki dhidi ya Uislamu, kutengwa kitaaluma inayoathiri wanawake wa Kiislamu kwenye vyombo vya habari. Athari hii imeenea hadi kwa masuala ya afya ya akili na imani katika mashirika.