Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon Yamzuru Mbunge Ibrahim Mneimneh
- Imepeperushwa katika Lebanon
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Ujumbe kutoka Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon, unaojumuisha Dkt. Muhammad Jaber, Mkuu wa Kamati Kuu ya Mawasiliano ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah Lebanon, na Mhandisi Saleh Salam, mjumbe wa kamati hiyo, walimtembelea jana, Jumanne, 16 Disemba 2025, Mbunge wa Beirut Bw. Ibrahim Mneimneh.



