Uvamizi wa Kishenzi Unafuata Hatua Tasa za Mfumo wa Kimataifa Pamoja na Hata Mauaji Zaidi ya Kinyama mjini Rafah
- Imepeperushwa katika Australia
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Uvamizi wa Kiyahudi unaendelea kuzidisha ukatili wake wa hapo awali, ukifanya uchinjaji na mauaji dhidi ya walio dhaifu zaidi. Wakati huu, waliangusha mabomu yaliyolenga wanawake na watoto waliokimbia makaazi yao katika kambi za Mahema za Rafah.