Hizb ut Tahrir / India: Makala ya Filamu “Mateso ya Waislamu nchini India!”
- Imepeperushwa katika India
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Makala ya Filamu “Mateso ya Waislamu nchini India!”
Makala ya Filamu “Mateso ya Waislamu nchini India!”
Msemaji wa Chama cha Bharatiya Janata cha India (BJP), Nupur Sharma alitoa matamshi ya matusi kuhusu Uislamu na juu ya Mtume (saw) na mkewe (ra) wakati wa mjadala wa televisheni. Baadaye mkuu wa idara ya habari ya Delhi, Naveen Kumar Jindal alichapisha tweet ya matusi kuhusu Mtume (saw).
Hivi majuzi, serikali ya Narendra Modi ilijikuta matatani baada ya baadhi ya wanachama wake kutoa matamshi ya dharau dhidi ya Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw). Katika nia ya kujinasua kutoka kwa ghadhabu inayozidi kuongezeka katika ulimwengu wa Kiislamu, Modi alichukua hatua haraka kuwasimamisha kazi maafisa wa BJP wenye hatia lakini hii haikusaidia kuzuia kashfa dhidi ya serikali yake.
Msururu wa kufuru umeenea kutoka Denmark na Ufaransa, hadi sehemu nyingine za Ulaya na kisha Marekani. Sasa imeenea hata kwa washirikina Mabaniani duni.
Mnamo tarehe 14 Mei, gazeti la Times la India lilichapisha ripoti kuhusiana na jinsi viwango vya mfumko wa bei vimeathiri pakubwa maisha ya kiuchumi ya wanawake wa Kiislamu na kuwaacha katika hatari ya matatizo makubwa ya kiafya.
Hizb ut Tahrir / Denmark iliandaa kisimamo mbele ya Bunge la Denmark katika uwanja wa Christiansborg Castle Square cha kulaani mateso ya umwagaji damu ya India dhidi ya Waislamu na unafiki wa serikali ya Denmark.
Waziri Mkuu wa India, Narendra Modi, atafanya ziara rasmi nchini Denmark Mei 3 - 4. Atakula chakula cha jioni na Malkia pamoja na kushiriki katika mkutano wa kilele wa Indo-Nordic, ulioandaliwa na Waziri Mkuu wa Denmark, Mette Frederiksen.
Mnamo tarehe 15 Machi 2022, Mahakama Kuu ya Shirikisho ya jimbo la India la Karnataka ilitoa uamuzi, kwamba maagizo ya sare za shule ya mamlaka za vyuo (ambazo hazikuruhusu uvaaji wa Hijab/Khimar),
Ulimwengu ulishuhudia, kwenye mitandao ya kijamii, kipande cha video cha kutisha kinachoonyesha polisi wa India wakiwafyatulia risasi wakaazi wa kitongoji cha Waislamu, katika jimbo la Assam kaskazini mashariki mwa India,
Tangu Februari 24, 2020, mji mkuu wa India, Delhi, umekuwa ukishuhudia mauaji yanayotekelezwa na wanaoabudu ng’ombe dhidi ya Waislamu. Zaidi ya Waislamu 40 wameuawa na zaidi ya 200 wamejeruhiwa.