‘Virusi vya Kigeni’
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
CNN ilielezea wasiwasi wake kwamba kiongozi wa Amerika anakuwa hajali na kuyahatarisha maisha ya Waamerika kutokana na mtazamo wake.
CNN ilielezea wasiwasi wake kwamba kiongozi wa Amerika anakuwa hajali na kuyahatarisha maisha ya Waamerika kutokana na mtazamo wake.
Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria iliandaa maandamano ndani ya kijiji cha Deir Hassan ndani ya Idlib vijijini, kwa kichwa
Runinga ya Al-Waqiyah ilifanya mahojiano mbali mbali na wazee kutoka kwa Mashabab wa Hizb ut Tahrir kutoka maeneo mbali mbali ulimwenguni ambapo walisisitiza kwamba wao wako imara juu ya ukweli, haijalishi uzito wa majanga, na kwamba wako njiani, haijalishi urefu wa barabara, lengo lao liko wazi na njia wanayotumia imekamilika…
Minbar ya Ummah: Wanawake kutoka Vijijini mwa Aleppo Wakiwakumbusha Kaka zetu namna Mapinduzi yawe kwa ajili ya Mwenyezi Mungu (swt) na Kuyataka Mapinduzi Yarudishwe yawe ni kwa ajili ya Mwenyezi Mungu (swt)