Jumanne, 19 Jumada al-thani 1447 | 2025/12/09
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Afisi ya Habari
Wilayah Sudan

H.  12 Jumada II 1447 Na: HTS 1447 / 62
M.  Jumatano, 03 Disemba 2025

Taarifa kwa Vyombo vya Habari

Mwaliko wa Kuhudhuria na Kushiriki katika Kikao cha Masuala ya Ummah
(Imetafsiriwa)

Sisi katika Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan tuna furaha kuwaalika wanahabari, wanasiasa, na wale walio na hamu na masuala ya umma kuhudhuria na kushiriki katika Kikao cha Masuala ya Umma cha kila mwezi, ambacho mwezi huu kitakuwa kwa kichwa:

Amerika Yatafuta Kurudia Taswira ya Libya kwa Kutenganisha Darfur

Wazungumzaji katika kikao:

1- Ustadh Nasser Ridha – Mkuu wa Kamati Kuu ya Mawasiliano ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah ya Sudan

2- Ustadh Ibrahim Othman (Abu Khalil) – Msemaji Rasmi wa Hizb ut Tahrir katika Wilayah ya Sudan

3- Afisa wa Kikao: Ustadh Al-Hadi Muhammad – Mwanachama wa Hizb ut Tahrir

Tarehe: 15 Jumada al-Akhirah 1447 H sawia na 06 Disemba 2025 M

Wakati: 1 pm

Mahali: Afisi ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan mjini Port Sudan, Wilaya ya Al-Azma, Mashariki mwa Uga

Uwepo wenu ni heshima kwetu, ambapo inaonyesha kujali kwenu masuala ya Umma wenu.

Ibrahim Othman (Abu Khalil)
Msemaji Rasmi wa Hizb Ut Tahrir
katika Wilayah Sudan

Hizb-ut Tahrir: Afisi ya Habari
Wilayah Sudan
Address & Website
Tel: 0912240143- 0912377707
http://www.hizb-sudan.org/
E-Mail: Spokman_sd@dbzmail.com

Andika maoni

Hakikisha umejaza (*) habari zinazohitajika palipoashiriwa. Kodi za HTML haziruhusiwi.

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu