Jarida la Al-Waie: Vichwa Vikuu vya Habari vya Toleo 453 - 454
- Imepeperushwa katika Jarida la Al-Waie
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia iliandaa kisimamo katika mji wa Hammamet chenye kichwa “Kutoka Tunisia hadi Gaza... Risala Tatu".
Hizb ut-Tahrir/Wilayah Tunisia imeandaa matembezi kwa kichwa “Enyi, Jeshi la Misri, Kinana... Adui yuko Machoni pako... Amemwaga Damu yenu na Kuwaua Ndugu zenu, Umefika Wakati kwenu Kuchukua Hatua!” baada ya swala ya Ijumaa yaliyoanza kutoka Msikiti wa Al-Fatah katika mji mkuu wa Tunis hadi barabara ya Al-Thawra kama ilivyo kila Ijumaa.
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir: Kitengo cha Wanawake “Ulipuaji Mabomu, Mauaji na Uharibifu... Ifikieni kwa Haraka Rafah!”
Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Uongozi wa kisiasa na kijeshi wa Pakistan ni wawezeshaji wa Marekani na kambi yake ya kijeshi katika moyo wa Ummah!
Watawala wa Waislamu wameyazuia majeshi ya Waislamu dhidi ya udhalimu wa mfumo wa kilimwengu wa Marekani, makruseda na Mayahudi!
Enyi Waislamu katika Jeshi la Pakistan! Naveed Butt ametoweka tangu 11 Mei 2012 M kwa sababu bado Hamjatimiza Wajibu Wenu!
Chini ya anwani, “Enyi Majeshi ya Waislamu ... Ni Nani Atakayenusuru Rafah, Jenin, na Palestina yote ikiwa Nyinyi Hamtazinusuru?!”, umati mkubwa wa watu wa Palestina ulishiriki katika mji wa Al-Bireh matembezi yaliyoitishwa na Hizb ut Tahrir katika Ardhi Iliyobarikiwa ya Palestina mnamo siku ya Ijumaa, 16 Dhu al-Qa'dah 1445 H sawia na 24 Mei 2024 M, wakiyataka majeshi ya Waislamu na vikosi vya silaha kuisuluhisha Palestina na watu wake kutokana na uhalifu wanaotendewa na umbile la Kiyahudi.
Alasiri ya leo Jumamosi tarehe 18/05/2024, umati mkubwa wa watu kutoka eneo la mkoa huu na maeneo ya jirani walikusanyika katikati ya mji wa Qalqilya, kuitikia wito wa Hizb ut Tahrir katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina), ambao iliuelekeza kwa watu kuinusuru Gaza na Rafah, kukusanyika katika kisimamo cha halaiki chini ya kichwa, “Enyi Waislamu: Rafah baada ya Gaza Inalilia msaada, basi ifikieni,”
Kisimamo kilichoandaliwa na Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria katika mji wa Al-Bab mnamo Ijumaa “Mshikamano wa Maanswari na Muhajirina ni Muungano wa Wakweli!”