Ziara ya Mohammad Bin Salman ya Uingereza, Amerika na Ufaransa
- Imepeperushwa katika Maswali ya Kisiasa
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mfalme Mtarajiwa wa Saudia, Mohammad Bin Salman, alikamilisha ziara yake nchini Ufaransa, iliyo anza mnamo Jumatatu 09/04/2018 na kuchukua siku mbili hadi 10/04/2018. Awali alizuru Uingereza mnamo 10/03/2018 kwa siku tatu.