Kitengo cha Wanawake: Kampeni ya Ramadhan: "Kutafuta Mafanikio Usoni Mwa Matatizo"
- Imepeperushwa katika Kampeni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kitengo cha Wanawake Kampeni ya Ramadhan Kutafuta Mafanikio Usoni Mwa Matatizo
Kitengo cha Wanawake Kampeni ya Ramadhan Kutafuta Mafanikio Usoni Mwa Matatizo
DVD ya Amali za Kiulimwengu za Hizb ut Tahrir katika Kumbukumbu ya 99 ya Kuvunjwa Khilafah 1441 H – 2020 M
Habari muhimu
Kalima ya Ustadh Abdul Haleem Zalloum (Abu Al-Waleed) Mwanachama wa Hizb ut Tahrir kuhusu Urongo wa Wazi Kabisa unao zunguka kwa kunasibishwa na Jina Lake na Kun'ya yake katika Mitandao ya Kijamii
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir inafuraha kuwafikishia wafuasi na wanao zuru kurasa za Afisi Kuu ya Habari CD mpya kwa anwani: CD ya Gazeti la Al-Raya Toleo la 4 (Nambari 171 - 270)
Afisi Kuu ya Habari: Ulinganizi wa Kiulimwengu Sehemu ya 45 - Khilafah Rashida kwa njia ya Utume
Virusi vya korona (Covid-19) vimeenea ulimwenguni mashariki na magharibi, vimesimamisha mambo ya kimaisha ya kila siku, na watu wenyewe wametii kujifungia ndani majumbani mwao kwa hofu ya maambukizi
Runinga ya Al-Waqiyah ilifanya mahojiano mbali mbali na wazee kutoka kwa Mashabab wa Hizb ut Tahrir kutoka maeneo mbali mbali ulimwenguni ambapo walisisitiza kwamba wao wako imara juu ya ukweli, haijalishi uzito wa majanga, na kwamba wako njiani, haijalishi urefu wa barabara, lengo lao liko wazi na njia wanayotumia imekamilika…
Mwaka 2020 unaadhimisha miaka 25 ya Azimio la Beijing na Mpango wa Utendaji (BPfA), ni waraka mpana ambao ulikuwa ni matokeo ya Kongamano la Kiulimwengu la nne la UN kuhusiana na Wanawake lililofanyika mnamo Septemba 1995, huko Beijing, Uchina.
Katika mwezi wa Rajab al-Muharram wa Mwaka huu 1441 H sawia na 2020M na katika kukumbuka kwa majonzi namna wahalifu walivyoivunja Dola ya Kiislamu na kuuondosha utawala wa Kiislamu (Khilafah) mnamo 28 Rajab al-Muharram 1342 H sawia na 3 Machi 1924 M.