Ijumaa, 19 Ramadan 1445 | 2024/03/29
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

بسم الله الرحمن الرحيم

 Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon:

Kampeni kwa Mnasaba wa Kumbukumbu ya Miaka 102 ya Kuvunjwa Khilafah

Katika mwezi wa Rajab Tukufu ya mwaka huu wa 1444 H Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon imezindua kampeni kwa mnasaba wa kumbukumbu ya miaka 102 Hijria ya kuvunjwa Khilafah kwa kichwa:

“Hali Ingekuwaje Kwetu lau Tungekuwa na Khilafah na Khalifa!?

Ijumaa, 12 Rajab Tukufu 1444 H - 03 Februari 2023 M

[Kalima ya Tarehe 1 Rajab]

- Uchungaji wa Kweli wa Dola kwa Raia -

[Kalima ya Tarehe 2 Rajab]

- Haki ya Kuwahisabu Watawala -

[Kalima ya Tarehe 3 Rajab]

- Je, Khilafah itabaki kuwa Ardhi inayokaliwa kwa Mabavu? -

[Kalima ya Tarehe 4 Rajab]

- Uchumi wa Kweli wa Dola ya Khilafah wenye Kupambana na Mfumko wa Bei -

[Kalima ya Tarehe 5 Rajab]

- Vyombo vya Habari katika Dola ya Khilafah -

[Kalima ya Tarehe 6 Rajab]

- Haiba ya Dola ya Khilafah kati ya Dola Nyenginezo -

[Kalima ya Tarehe 7 Rajab]

- Khilafah na Riba -

[Kalima ya Tarehe 8 Rajab]

- Suluhisho la Mwisho la Umasikini katika Dola ya Khilafah -

[Kalima ya Tarehe 9 Rajab]

- Khilafah Itakabiliana vipi na Majanga -

[Kalima ya Tarehe 10 Rajab]

- Saumu ya Waislamu ndani ya Khilafah -

[Kalima ya Tarehe 11 Rajab]

- Cheo cha Mwanamke ndani ya Khilafah -

[Kalima ya Tarehe 12 Rajab]

- Idadi ya Walio Wachache ndani ya Dola ya Khilafah -

[Kalima ya Tarehe 13 Rajab]

- Umoja, Izza, Hadhara nk -

[Kalima ya Tarehe 14 Rajab]

- Kutii Amri ya Mwenyezi Mungu (SWT), maisha yenye heshima, ukombozi wa nchi, na mwavuli wa haki kwa wanadamu -

[Kalima ya Tarehe 15 Rajab]

- Hivi ndivyo tutakavyokuwa lau kungekuwa na Khilafah na Khalifa baina yetu! -

Basi njooni mufanye kazi pamoja na Hizb ut Tahrir kusimamisha Khilafah na kumteua Khalifa, hilo litatokea hivi karibuni, kwa idhini ya Mwenyezi Mungu

[Kalima ya Tarehe 16 Rajab]

- Mfano wa Ummah wangu ni ule wa mvua; Haijulikani kheri yake iko mwanzo wake au mwisho wake -

Chini ya kivuli cha migogoro na majanga yanayousibu Ummah wetu, Mtume (saw) amesema:

(أمَّتي كالمطرِ لا يُدرى أولُّه خيرٌ أم آخرُه)

"Mfano wa Ummah wangu ni ule wa mvua; Haijulikani kheri yake iko mwanzo wake au mwisho wake"

- Alama Ishara za Kampeni -

#Time4Khilafah

#EstablishKhilafah

#ReturnTheKhilafah

#TurudisheniKhilafah

#KhilafahBringsRealChange

#بالخلافة_يحصل_التغيير_الحقيقي

أقيموا_الخلافة#

كيف_تقام_الخلافة#

#YenidenHilafet

 #HakikiDeğişimHilafetle

Kwa Mengi Zaidi Tafadhali Zuru Mitandao ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon:

Ukurasa wa Facebook wa Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon

Ukurasa wa Facebook wa Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon

Ukurasa wa Twitter wa Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon

Chaneli ya YouTube ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon

Andika maoni

Hakikisha umejaza (*) habari zinazohitajika palipoashiriwa. Kodi za HTML haziruhusiwi.

rudi juu

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu