Jumamosi, 11 Shawwal 1445 | 2024/04/20
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

بسم الله الرحمن الرحيم

 Msikiti wa Al-Aqsa: Amali za Ijumaa – Ramadhan Tukufu 1443 H

- Ijumaa ya Kwanza -

Bait ul Maqdis,

07 Ramadhan Tukufu 1443 H – 08 Aprili 2022 M

(Kalima Zilizotolewa ndani ya Mswala wa Qibli)

- Kalima ya Ufunguzi -

[Warithi wa Kitabu Wao ndio Watakaosimamisha Khilafah!]

Kwa Fadhila za Sheikh Said Al-Karami (Abu Abdul Rahman)

- Kalima ya Kwanza -

[Waislamu Wanateseka Kutokana na Mgogoro wa Kuwanyenyekea Madhalimu!]

Kwa Fadhila za Sheikh Uswam Amirah (Abu Abdallah)

- Kalima ya Pili -

[Matukio ya Hivi Punde nchini Yemen na Ukraine!]

Na Mwanafikra wa Kisiasa Ahmad Al-Khatawani (Abu Hamza)

- Kipindi cha Majibu ya Maswali -

- Kipindi cha Maingiliano, Dua na Kuhitimisha -

- Ijumaa ya Pili -

Bait ul Maqdis,

14 Ramadhan Tukufu 1443 H – 15 Aprili 2022 M

(Kalima Zilizotolewa ndani ya Mswala wa Qibli)

- Kalima ya Ufunguzi -

[Nani Yuko Pamoja na Al-Aqsa na Palestina Kutokana na Uvamizi wa Walowezi?!]

Na Sheikh Muhammad Ayed (Abu Abdalla)

- Kalima ya Kwanza -

[Umma Unatukuka na Kuinua kwa Kitu Gani?!]

Kwa Fadhila za Sheikh Said Al-Karami (Abu Abdulrahman)

- Kalima ya Pili -

[Juhudi ya Hali ya Juu Hutolewa Kabla ya Tukio sio Baada Yake!]

Kwa Fadhila za Sheikh Uswam Amirah (Abu Abdalla)

- Kalima ya Tatu -

[Kadhia ya Al-Aqsa ni Kadhia ya Waislamu Wote!]

Na Mwanafikra wa Kisiasa Ahmad Al-Khatawani (Abu Hamza)

- Kalima ya Nne -

[Sababu za Mfumko wa Bei ni Sarafu ya Ruble ya Urusi!]

Na Mwanafikra wa Kisiasa Ahmad Al-Khatawani (Abu Hamza)

Kipindi cha Majibu ya Maswali –

Na Mwanafikra wa Kisiasa Ahmad Al-Khatawani (Abu Hamza)

- Kipindi cha Maingiliano, Dua na Kuhitimisha -

Kwa Fadhila za Sheikh Uswam Amirah (Abu Abdalla)

- Ijumaa ya Tatu -

Bait ul Maqdis,

21 Ramadhan Tukufu 1443 H – 22 Aprili 2022 M

(Kalima Zilizotolewa ndani ya Mswala wa Qibli)

- Kalima ya Ufunguzi -

- Kalima ya Kwanza -

[Dini Halisi ni Ipi?!]

Kwa Fadhila za Sheikh Said Al-Karami (Abu Abdulrahman)

- Kalima ya Pili -

[Wanazuoni ni Sehemu ya Tatizo sio Sehemu ya Suluhisho!]

Kwa Fadhila za Sheikh Uswam Amirah (Abu Abdalla)

- Kalima ya Tatu -

[Yanayojiri Nchini Libya!]

Na Mwanafikra wa Kisiasa Ahmad Al-Khatawani (Abu Hamza)

- Kipindi cha Majibu ya Maswali –

Na Mwanafikra wa Kisiasa Ahmad Al-Khatawani (Abu Hamza)

- Kipindi cha Maingiliano, Dua na Kuhitimisha -

Kwa Fadhila za Sheikh Uswam Amirah (Abu Abdalla)

- Ijumaa ya Nne -

Bait ul Maqdis,

28 Ramadhan Tukufu 1443 H – 29 Aprili 2022 M

(Kalima Zilizotolewa ndani ya Mswala wa Qibli)

- Kalima ya Ufunguzi -

- Kalima ya Kwanza -

[Ahadi ya Mwenyezi Mungu Imesimama na Nusra ya Mwenyezi Mungu Anakaribia!]

Na Sheikh Muhammad Ayed (Abu Abdullah)

- Kalima ya Pili -

[Fadhila za Kumswalia Mtume (saw)!]

Kwa Fadhila za Sheikh Said Al Karmi (Abu Abdul Rahman)

- Kalima ya Tatu -

[Ummah wa Kiislamu Wabatisha Kuzunguka kwake katika Nguvu za Makafiri !]

Kwa Fadhila za Sheikh Uswam Amirah (Abu Abdalla)

- Kalima ya Nne -

[Mada 1: Ni Kipi Kilicho Nyuma ya Ziara za Watawala wa Pakistan na Uturuki Nchini Saudi Arabia?

Mada 2: Tathmini ya Hivi Punde ya Vita Nchini Ukraine!]

Na Mwanafikra wa Kisiasa Ahmad Al-Khatawani (Abu Hamza)

- Kipindi cha Majibu ya Maswali -

Na Mwanafikra wa Kisiasa Ahmad Al-Khatawani (Abu Hamza)

- Kalima ya Tano -

[Izza ya Waislamu Haidhoofishwi!]

Sheikh Abdul Karim Al-Sinjlawi

- Kipindi cha Maingiliano, Dua na Kuhitimisha -

Kwa Fadhila za Sheikh Uswam Amirah (Abu Abdalla)

Andika maoni

Hakikisha umejaza (*) habari zinazohitajika palipoashiriwa. Kodi za HTML haziruhusiwi.

rudi juu

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu