Jumatatu, 10 Dhu al-Qi'dah 1447 | 2026/04/27
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu
kesho kutwa

kesho kutwa

Maslahi ya Nani Yanatumikiwa kwa Uamuzi wa Serikali wa Kufungua Tena Kivuko cha Mpakani cha Adre huku Watu wa Fashir Wakifa kwa Njaa?!

Serikali ya Sudan ilitangaza mnamo Jumanne kwamba itaongeza muda wa ufunguzi wa kivuko cha mpakani na Chad cha Adre kwa mashirika ya misaada ya kibinadamu hadi mwisho wa mwaka huu. Wizara ya Mambo ya Nje ilitoa taarifa ikisema kwamba hatua hii inathibitisha dhamira ya serikali ya kuhakikisha kwamba misaada ya kibinadamu inawafikia wale wanaohitaji nchini kote, na kuonyesha nia yake njema katika kuwezesha shughuli za kibinadamu.

“Maslahi Makuu ya Serikali” Yanakula Watoto Wake Yenyewe!

Chansela wa Ujerumani yuko chini ya shinikizo kutoka kwa kanuni ile ile ya kisiasa ambayo hivi majuzi aliitangaza kuwa “kiini cha uwepo wa Wajerumani.” Licha ya matamshi yake ya mara kwa mara ya kujitolea kikamilifu kwa kanuni ya maslahi makuu ya dola (ambayo ina maana ya uungaji mkono kamili kwa umbile la Kiyahudi), majeshi ya Kizayuni katika siasa na vyombo vya habari yanahamasisha juhudi za kuhujumu uamuzi wake wa hivi karibuni wa kuzuia usafirishaji nje wa silaha kwa umbile hilo kupitia mashambulizi yaliyoratibiwa!

Chuki na Uhalifu wa umbile la Kiyahudi mjini Gaza na Yemen Haitakomeshwa isipokuwa kwa Khilafah Rashida ya Pili kwa Njia ya Utume, Mlinzi wa Matukufu ya Waislamu

Kulengwa kwa Yemen na umbile la Kiyahudi kusingetokea isipokuwa kwa kukosekana utawala wa Uislamu, na kutabanniwa kwa sheria ya kimataifa inayowakilishwa na Umoja wa Mataifa na wale walio nyuma yake kama kibla chao, na malipo kama hayo ya kuacha kutawala na Uislamu ni matokeo ya kutarajiwa tu – hadi wanasiasa wa Yemen waregee kwenye fahamu zao na kuuweka Uislamu katika utabikishaji ndani ya Khalifah ya pili kwa njia ya Utume.

Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu