Mateso ya Ummah katika mwaka 2019 – 2020
- Imepeperushwa katika Canada
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
2019 – 2020 umekuwa ni mwaka mwengine wa mateso kwa Ummah wa Kiislamu.
2019 – 2020 umekuwa ni mwaka mwengine wa mateso kwa Ummah wa Kiislamu.
Wacha Silaha Zetu za Nyuklia ziwe Nyenzo za Kulinda Bara yetu wakati Simba wa vikosi vya Majeshi yetu Wakiikomboa Kashmir iliyo kaliwa
Janga la virusi vya Korona limeutingisha ulimwengu, kusitisha shughuli zake na kuwaacha wanasiasa wake katika mshangao na mashaka.
“Ni zipi sababu za kufunga Misikiti ya Mwenyezi Mungu ambapo tunaswali na kuinua mikono yetu kuomba janga hili la maambukizi limalizike?!”