Muasisi wa Hizb ut Tahrir - Sheikh Mwanachuoni Taqiuddin an-Nabahani (rahimahu Allah)
- Imepeperushwa katika Muasisi wa Hizb ut Tahrir
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
Hizb ut Tahrir / Wilaya Yemen nayo ilijitosa katika kampeni hii ya kiulimwengu. Sifa njema zote anastahiki Mwenyezi Mungu (swt).
Janga la virusi vya korona ndio janga mbaya zaidi la kiulimwengu tangu Vita vya Pili vya Dunia, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa - Antonio Guterres alisema siku ya Jumanne, akieleza namna janga hilo litakavyochochea mizozo duniani kote.
Hotuba ya kwanza itafichua sera haribifu za Utawala wa Hasina nchini Bangladesh. Nukta muhimu zitakazo gusiwa katika mada ni: