Australia: Hotuba ya Ijumaa “Kukumbuka Mauaji ya Halaiki ya Waislamu”
- Imepeperushwa katika Australia
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
Iliyotolewa na Ismail Al-Wahwah (Abu Anas)
Iliyotolewa na Ismail Al-Wahwah (Abu Anas)
Kumbukumbu ya maumivu inapita siku hizi, ambayo ni kumbukumbu ya kuvunjwa kwa Khilafah kupitia mhalifu wa karne hii, Mustafa Kemal, tarehe ishirini na nane Rajab 1342 H, sawia na Machi 3, 1924 M.
Kituo cha Televisheni ya Denmark TV2 kilichapisha makala mnamo Januari 15 kwa kichwa: “Serikali inataka kuzilazimisha manispaa kuwaondoa watoto wanaokulia katika mazingira ya misimamo mikali.”
Katika kujibu shambulizi la kinyama kwa Waislamu wenzetu wa Uighur Mashariki ya Turkistan yaliyo fanywa na serikali ya China, na pia chini ya muongozo wa Mwanachuoni mkubwa Ata Bin Khalil Abu al-Rashtah, Amir wa Hizb ut Tahrir, ujumbe kutoka Hizb ut Tahrir / Australia ulitembelea Ubalozi wa China uliopo jijini Sydney