Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir Imezindua tena Gazeti la Al-Raya
- Imepeperushwa katika Al-Rayah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir inafuraha kuwatangazia wafuasi na wageni wake katika tovuti za Afisi Kuu ya Habari kuanza tena uchapishaji wa Al-Raya, ambalo lilikuwa linachapishwa na Hizb ut Tahrir mnamo 1954.



