Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 268
- Imepeperushwa katika Al-Rayah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
Vichwa Vikuu vya Toleo 268
Vichwa Vikuu vya Toleo 268
Vichwa Vikuu vya Toleo 267
Bunge la Chini la Jordan mnamo Jumatano jioni, 15/01/2020, lilipitisha kielelezo cha sheria ya bajeti ya serikali ya mwaka 2020 na kielelezo cha bajeti ya mwaka ya taasisi huru za Ummah.
Al-Jazeera imeripoti kwamba wanajeshi watatu wa India waliuawa kwa silaha zilizorushwa kutoka upande wa Kashmir, wakati Pakistan imetangaza kufariki kwa wanajeshi wake wawili na mwengine kujeruhiwa na makombora kutoka India, katika mstari wa udhibiti unaotenganisha pande mbili hizo.