Mbinu ya Amerika na Kupunguza Kisiasa Wanajeshi ndani ya Afghanistan
- Imepeperushwa katika Al-Rayah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
Rais wa Afghanistan, Ashraf Ghani, amesema katika jukwaa la kiulimwengu la kiuchumi lililofanyoka Davos, kwamba serikali ya Afghan haitapata matatizo baada ya vikosi vya kigeni kujiondoa kutoka nchini humo; hata hivyo, kama mazungumzo yataendelea na Taliban badala ya serikali yake, vita vitachukua awamu nyingine.



