Jumatano, 25 Muharram 1446 | 2024/07/31
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Ardhi Iliyobarikiwa - Palestina: Hizb ut Tahrir Yatoa Wito kwa Majeshi Kusonga Kujibu Uamuzi wa Uvamizi wa Kuwaruhusu Mayahudi Kufanya Ibada zao ndani ya Msikiti wa Al-Aqsa Uliobarikiwa

Jumamosi, 9 Oktoba 2021, Hizb ut Tahrir katika Ardhi Iliyobarikiwa - Palestina iliandaa visimamo vitatu mjini Ramallah, Hebron na Tulkarm, ambapo ilitoa wito kusonga kwa uhalisi kwa majeshi ya Waislamu kujibu uamuzi wa uvamizi wa kuwaruhusu Wayahudi kutekeleza ibada zao katika makawanda ya Msikiti wa Aqsa Uliobarikiwa.

Soma zaidi...

Indonesia: Kongamano la Kimataifa la Mawakili Waislamu

Kwa kuzingatia masaibu wanayopitia Waislamu katika biladi tofauti tofauti ya ukandamizaji, umasikini, mauaji, kuhama makaazi, mauaji ya halaiki, na uchafuzi wa heshima kwa Rohingya, Uyghur, Kashmir na India, na hali duni ya maisha ya mamilioni ya wakimbizi katika kambi na kunyimwa kwao wengi mahitaji ya kimsingi nchini Syria, Yemen na Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) na kwengineko katika upande mmoja

Soma zaidi...

Wilayah Syria: Ripoti ya Video ya Warsha ya Atma "Mabomu ya hivi majuzi... Je! Matumaini ya Kurudi Yamepotea?"

Ripoti ya video ya Warsha iliyoandaliwa na Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria katika mji wa Atma viungani mwa Idlib kama sehemu ya msururu wa warsha zilizoandaliwa eneo la kaskazini mwa Syria lililokombolewa ili kueneza utambuzi wa kisiasa kati ya watu, na zilikuwa kwa anwani:

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu